Kusipokuwa na Katiba Mpya, Siyo tu Vyama vya Upinzani Visishiriki Uchaguzi Bali Hata Uchaguzi Wenyewe Usifanyike

Kila siku nasisitiza, bila machafuko tusitegemee box la kura kuheshimiwa, au katiba bora kupatikana. Kwenda kusimama kwenye mstari wa kura eti unachagua kiongozi kwa mazingira haya ni upuuzi wa hali ya juu. Ifahamike sio kila viongozi wa nchi hupatikana kwa box la kura. Mfano halisi ni viongozi hapa Tanzania. Ni sisi wananchi kuamua kwenda kupoteza muda kwenye mstari wa kura zisizoheshimiwa, ama kufanya machafuko Kupata katiba Bora.

Machafuko ya kudai katiba Kwa Tanzania labda 2080
 
Ulilo lisema ni ukweli % shida kubwa tulilo nalo ni umma wa Watanzania kuto jitambua wao kutwa kulalamika uku majukumu mahimu Kama hilo la kuapata katiba mpya wakiachiwa kundi fulani.

"Mgeni ambaye huwa anavunja chombo akiwa ugenini huwa hasauliki"
 
Hiyo hiyo 2080 kuliko kwenda kupoteza muda kwenye mstari wa box la kura ambalo mshindi anapangwa na kundi la wahuni.

Tanzania hakuna wanasiasa wa upinzani ambao wanata Kuchukua serikali

So hata bila police wala chochote still ccm watashinda
 
Tanzania hakuna wanasiasa wa upinzani ambao wanata Kuchukua serikali

So hata bila police wala chochote still ccm watashinda

Nimecheka kwa nguvu, eti bila hata polisi CCM watashinda. Kama ni hivyo yale mabox ya kura za wizi huwa yanapelekwa vituoni ili iweje?
 
Nimecheka kwa nguvu, eti bila hata polisi CCM watashinda. Kama ni hivyo yale mabox ya kura za wizi huwa yanapelekwa vituoni ili iweje?

Tatizo mnajidanganya sana, mnaona kama kuna watu wengi ambao wanaweza kupigia kura upinzani
 
Tatizo mnajidanganya sana, mnaona kama kuna watu wengi ambao wanaweza kupigia kura upinzani

Haya maelezo yako yangekuwa na maana iwapo box la kura lingeheshimiwa ili tuone ukweli. Kwenye uchaguzi halali hata kama CCM itashinda, ila haiwezi kupata kura zaidi ya 55%, jambo ambalo litawanyima nguvu ya kupitisha chochote bungeni watakavyo. Ukiona wanapora ni ili waumini wake kama ww msife kwa pressure kwa kuona ukweli mchungu.
 
Haya maelezo yako yangekuwa na maana iwapo box la kura lingeheshimiwa ili tuone ukweli. Kwenye uchaguzi halali hata kama CCM itashinda, ila haiwezi kupata kura zaidi ya 55%, jambo ambalo litawanyima nguvu ya kupitisha chochote bungeni watakavyo. Ukiona wanapora ni ili waumini wake kama ww msife kwa pressure kwa kuona ukweli mchungu.
Mtu anayesema kuwa eti hata kukiwa na uchaguzi huru, CCM itashinda, lazima ana tatizo katila uwezo wa tafakuri.

Kama CCM ina uhakika wa kushinda kwenye uchaguzi huru, kwa nini kila mara inahangaika na kuiba kura, kuufanya mchakato wa kura kuwa wa siri?

Kwa nini wafanye kazi ya kukata majina ya wagombea wa vyama vingine kwa visingizio mbalimbali, wawafukuze watu wasishuhudie mchakato wa kuhesabu kura? Kwa nini watumie polisi kuvuruga mikutano yakampeni za uchaguzi ya vyama vingine?

Adui mkubwa wa maendeleo ya demokrasia Tanzania ni CCM na viongozi wake.
 
Mtu anayesema kuwa eti hata kukiwa na uchaguzi huru, CCM itashinda, lazima ana tatizo katila uwezo wa tafakuri.

Kama CCM ina uhakika wa kushinda kwenye uchaguzi huru, kwa nini kila mara inahangaika na kuiba kura, kuufanya mchakato wa kura kuwa wa siri?

Kwa nini wafanye kazi ya kukata majina ya wagombea wa vyama vingine kwa visingizio mbalimbali, wawafukuze watu wasishuhudie mchakato wa kuhesabu kura? Kwa nini watumie polisi kuvuruga mikutano yakampeni za uchaguzi ya vyama vingine?

Adui mkubwa wa maendeleo ya demokrasia Tanzania ni CCM na viongozi wake.

Huwa nacheka sana nikisikia Makada wa CCM wakisema CCM itashinda tu hata tume ya uchaguzi ikiwa huru. Unashangaa kwanini hawataki kudhibitisha huo ushindi wao kwa tume kuwa huru?! Ukweli ni kuwa, CCM inajua na ukweli ndio ulivyo, hakuna uwezo wa wao kushinda tena kwa zaidi ya 50% kihalali.

Na sio tu kwamba haiwezi kushinda kwa 50%, bali haitakaa ishinde tena kwa kiwango hicho, kwani hiki sio kizazi cha CCM. Hizi vurugu zote za kunajisi chaguzi za nchi hii ni sababu ya kupambana na ukweli huo.
 
Back
Top Bottom