hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,451
- 6,325
Kila siku nasisitiza, bila machafuko tusitegemee box la kura kuheshimiwa, au katiba bora kupatikana. Kwenda kusimama kwenye mstari wa kura eti unachagua kiongozi kwa mazingira haya ni upuuzi wa hali ya juu. Ifahamike sio kila viongozi wa nchi hupatikana kwa box la kura. Mfano halisi ni viongozi hapa Tanzania. Ni sisi wananchi kuamua kwenda kupoteza muda kwenye mstari wa kura zisizoheshimiwa, ama kufanya machafuko Kupata katiba Bora.
Machafuko ya kudai katiba Kwa Tanzania labda 2080