Si siri kuna fukuto la mabadiliko katika nchi yetu. Na ni vyema watu wapenda maendeleo kutumia fukuto hili kuwasha moto ambao utakimbiza mafisadi namajambazi kutoka Tanzania yatu kama sio kuwafunga kabisa.
Ila kwa kiasi kikubwa naona kelele zote, jitihada zote zinafanyika kaskazini tu mwa Tanzania!! Je kusini hakuna viongozi wa upinzani?
Nitajibu swali langu mwenyewe. Wapo ILA NI VILAZA. Intillegence capability yao yakupambanua mambo kama Tundu, Mnyika, Lema e.t.c ni hakuna. Hawana tofauti na mifisadi ya CCM inayo subiri kula hela zetu tu.
Mfano mara ya mwisho niliskia Sugu akisema ataendelea kuimba hata kama ni mheshimiwa, na mara ya mwisho kumsikia Msigwa ni akilaumiwa na wana CDM kuhusu kukosa viti vyaudiwani.
VIONGOZI WACHADEMA MNAWASAHAU WATU WA KUSINI, TAFADHALI NENDENI KUSINI KULETA MUAMKO ILI MAPINDUZI YAWE NA NGUVU YA KITAIFA NA SIO KIKASKAZINI TU!!!
vidole kwenye keyboard vinapotengana na kasi ya ubongo kufikiri.Chadema ni mali ya watu wa kaskazini, nilishasema cku nyingi. Kusini mwa Tanzania, hakuna chama cha upinzani. Hata Dr.Slaa hakufika kusini... Kule wilayani..
Si siri kuna fukuto la mabadiliko katika nchi yetu. Na ni vyema watu wapenda maendeleo kutumia fukuto hili kuwasha moto ambao utakimbiza mafisadi namajambazi kutoka Tanzania yatu kama sio kuwafunga kabisa.
Ila kwa kiasi kikubwa naona kelele zote, jitihada zote zinafanyika kaskazini tu mwa Tanzania!! Je kusini hakuna viongozi wa upinzani?
Nitajibu swali langu mwenyewe. Wapo ILA NI VILAZA. Intillegence capability yao yakupambanua mambo kama Tundu, Mnyika, Lema e.t.c ni hakuna. Hawana tofauti na mifisadi ya CCM inayo subiri kula hela zetu tu.
Mfano mara ya mwisho niliskia Sugu akisema ataendelea kuimba hata kama ni mheshimiwa, na mara ya mwisho kumsikia Msigwa ni akilaumiwa na wana CDM kuhusu kukosa viti vyaudiwani.
VIONGOZI WACHADEMA MNAWASAHAU WATU WA KUSINI, TAFADHALI NENDENI KUSINI KULETA MUAMKO ILI MAPINDUZI YAWE NA NGUVU YA KITAIFA NA SIO KIKASKAZINI TU!!!
duh kumbe mtu akisema ataendelea kuimba hata kama ni muheshimiwa ni kilaza? Kwa tafsiri ya haraka haraka ww ndio kilaza wa kutupwa!
Horseshoe nijuavyo mimi kilaza ni mtu mzembe incompetent,kama ina maana tofauti na hio naomba unijuze.
Si siri kuna fukuto la mabadiliko katika nchi yetu. Na ni vyema watu wapenda maendeleo kutumia fukuto hili kuwasha moto ambao utakimbiza mafisadi namajambazi kutoka Tanzania yatu kama sio kuwafunga kabisa.
Ila kwa kiasi kikubwa naona kelele zote, jitihada zote zinafanyika kaskazini tu mwa Tanzania!! Je kusini hakuna viongozi wa upinzani?
Nitajibu swali langu mwenyewe. Wapo ILA NI VILAZA. Intillegence capability yao yakupambanua mambo kama Tundu, Mnyika, Lema e.t.c ni hakuna. Hawana tofauti na mifisadi ya CCM inayo subiri kula hela zetu tu.
Mfano mara ya mwisho niliskia Sugu akisema ataendelea kuimba hata kama ni mheshimiwa, na mara ya mwisho kumsikia Msigwa ni akilaumiwa na wana CDM kuhusu kukosa viti vyaudiwani.
VIONGOZI WACHADEMA MNAWASAHAU WATU WA KUSINI, TAFADHALI NENDENI KUSINI KULETA MUAMKO ILI MAPINDUZI YAWE NA NGUVU YA KITAIFA NA SIO KIKASKAZINI TU!!!
vilaza maanake nini
Si siri kuna fukuto la mabadiliko katika nchi yetu. Na ni vyema watu wapenda maendeleo kutumia fukuto hili kuwasha moto ambao utakimbiza mafisadi namajambazi kutoka Tanzania yatu kama sio kuwafunga kabisa.
Ila kwa kiasi kikubwa naona kelele zote, jitihada zote zinafanyika kaskazini tu mwa Tanzania!! Je kusini hakuna viongozi wa upinzani?
Nitajibu swali langu mwenyewe. Wapo ILA NI VILAZA. Intillegence capability yao yakupambanua mambo kama Tundu, Mnyika, Lema e.t.c ni hakuna. Hawana tofauti na mifisadi ya CCM inayo subiri kula hela zetu tu.
Mfano mara ya mwisho niliskia Sugu akisema ataendelea kuimba hata kama ni mheshimiwa, na mara ya mwisho kumsikia Msigwa ni akilaumiwa na wana CDM kuhusu kukosa viti vyaudiwani.
VIONGOZI WACHADEMA MNAWASAHAU WATU WA KUSINI, TAFADHALI NENDENI KUSINI KULETA MUAMKO ILI MAPINDUZI YAWE NA NGUVU YA KITAIFA NA SIO KIKASKAZINI TU!!!
Si siri kuna fukuto la mabadiliko katika nchi yetu. Na ni vyema watu wapenda maendeleo kutumia fukuto hili kuwasha moto ambao utakimbiza mafisadi namajambazi kutoka Tanzania yatu kama sio kuwafunga kabisa.
Ila kwa kiasi kikubwa naona kelele zote, jitihada zote zinafanyika kaskazini tu mwa Tanzania!! Je kusini hakuna viongozi wa upinzani?
Nitajibu swali langu mwenyewe. Wapo ILA NI VILAZA. Intillegence capability yao yakupambanua mambo kama Tundu, Mnyika, Lema e.t.c ni hakuna. Hawana tofauti na mifisadi ya CCM inayo subiri kula hela zetu tu.
Mfano mara ya mwisho niliskia Sugu akisema ataendelea kuimba hata kama ni mheshimiwa, na mara ya mwisho kumsikia Msigwa ni akilaumiwa na wana CDM kuhusu kukosa viti vyaudiwani.
VIONGOZI WACHADEMA MNAWASAHAU WATU WA KUSINI, TAFADHALI NENDENI KUSINI KULETA MUAMKO ILI MAPINDUZI YAWE NA NGUVU YA KITAIFA NA SIO KIKASKAZINI TU!!!
Mbona una haraka hivyo? au wewe ni shushushu unataka kujua CDM wanapanga nini kwa sasa?