Kushuka kwa thamani ya Shilingi: Serikali kupitia BoT yatoa ufafanuzi, yaitupia lawama Bloomberg

Waache BoT waendelee kuongopa na kubishana na ukweli ulio wazi.
Hii ni chati ikionyesha mabadiliko ya rate jana
f417b62c9562d091379524101e6cf499.jpg
 
hii serikal kazi kutupia lawama watu hawajui wanayaharibu ajira za maelfu ya wafanyabiashara yaan huu utawala huwa nang'ata kidole kwa hasira
 
Yaani hapo ni kwamba jana Nov 02 bei ya Usd ilikuwa ni sawa na sh 2245 lakini hadi leo Nov 03 saa 21.54 pm Bei ya 1usd kwa shilingi ya kitanzania imekuwa ni 2319.

Hapa kwa wale wazee wa PIPS watakuwa wameshaelewa hili ongezeko ni la kiasi gani
 
Ndugu wananchi tuache kupotosha na kufuata wapotoshaji kwenye kila kitu, Benki kuu isingeweza toa andiko la mpaka kuelezea kuongea na Bloomberg na wao wamekubali kukosea na kuomba wapewe muda warekebishe.. ikumbukwe Bloomberg sio shirika dogo hivyo chombo kikubwa kama Benki Kuu isingeweza tumia jina lao kimzaa mzaa.

Tupunguze kuwa kwenye upande wa kupanikisha watu na kuongea tusiyokuwa na uhakika nayo au hata elimu na ufahamh mzuri nayo.

Shillingi ya nchi kama Tanzania itapotezaje thamani yake saa kadhaaa baada ya soko la Tanzania kufungwa wakati sarafu yetu huwa haiuziki sana nchi za nje?
 
Yaani hapo ni kwamba jana Nov 02 bei ya Usd ilikuwa ni sawa na sh 2245 lakini hadi leo Nov 03 saa 21.54 pm Bei ya 1usd kwa shilingi ya kitanzania imekuwa ni 2319.

Hapa kwa wale wazee wa PIPS watakuwa wameshaelewa hili ongezeko ni la kiasi gani
Hamna kitu kama hicho maana instruments zilikua zaonyesha bei kama hizo ni websites ambazo huwezi trade nazo...

Tungeweza sema ilikua ni makosa ya kibinadamu kukosewa rates au kuweka mawazo ya bloomberg kuwa hacked na wrong rates kuwa published...
 
View attachment 623740
What contributors? Is it people?

Anyways, BOT wanaweza wakawa right. Kwenye google imeshuka. Imerudi pale Ilipokuwa. So no need to panick people.

But a cause of concern, there are many factors determine the currency valuation in a country .

How are international exchange rates set?

It seems we’re pegging our currency against the USD, in that case we must be holding a lot of reserve of USD to have that leverage,

How much do we know? May be the stats were given to Bloomberg but not Tanzania to correct it, does anybody knows??

The statement clearly said, we are holding substantial reserve of USD.
 
DUH hapa nimecheck EURO ni kama inavyoonekana hapa
 

Attachments

  • Tshs hatari.png
    Tshs hatari.png
    70 KB · Views: 52
Bloomberg, a relatively young New York-based company, had been eating into Reuters' market, providing analytics and data to Wall Street's Masters of the Universe via proprietary terminals. Dubbed Decision 2000, the project's goal was no less than the destruction of Reuters' competitor and its terminals.

Vigogo wengine wakubwa zaidi ya Bloomberg wa masuala ya kifedha na mabenki duniani wao wanasemaje kuhusu thamani ya shillingi ya Tanzania
 
Yaani hapo ni kwamba jana Nov 02 bei ya Usd ilikuwa ni sawa na sh 2245 lakini hadi leo Nov 03 saa 21.54 pm Bei ya 1usd kwa shilingi ya kitanzania imekuwa ni 2319.

Hapa kwa wale wazee wa PIPS watakuwa wameshaelewa hili ongezeko ni la kiasi gani
Kwahiyo hapa wazee wa forex trading wamepiga pesa....ndefu sana
 
Hawa jamaa waongo kweli kweli, mi nimetoka kutuma pesa kwenda Tanzania muda huu kwa mtandao wa world remit. ..pound moja unabadilisha kwa shilingi 3,184.
Wkt jana tu ilikuwa ni 2877 hivyo utaona jinsi shilling ilivyoshuka kwa ghafla tena kwa kiasi kikubwa sana
# Haiongopi Mzeee
 
  • Thanks
Reactions: VSM
Hawa jamaa waongo kweli kweli, mi nimetoka kutuma pesa kwenda Tanzania muda huu kwa mtandao wa world remit. ..pound moja unabadilisha kwa shilingi 3,184.
Wkt jana tu ilikuwa ni 2877 hivyo utaona jinsi shilling ilivyoshuka kwa ghafla tena kwa kiasi kikubwa sana

Kwa sasa n 3243.63 kwa pound mkuu, nimetoka kutuma right now kwenda Tanzania kupitia western union
 
Back
Top Bottom