Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
- Fikiria siku mbili kabla ya uchaguzi wa madiwani Arusha Lema akiinadi Chadema anapanda jukwaani na kutoa kauli kama aliyoitoa Lameck Mwigulu!
- Fikiria katika mkutano wa CCM wa kufunga kampeni, mara bomu hilo linalipuka na wananchi kadhaa wanapoteza maisha na wengine kujeruhiwa!