Kusema Hapana sio kosa la jinai

mkalachaka

Member
Jan 17, 2007
12
0
Wana jamii, baada ya kuisoma Rasimu ya Pili ya Katiba na Katiba iliyopendekezwa na BMK na baada ya mmoja wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kutoa changamoto ya kwa nini tupige kura ya Hapana kuikataa Katiba inayopendekezwa na BMK, nimeona niwashirikishe wanajamii wote msome jinsi ambavyo wawakilishi wetu katika BMK wasivyojali maadili ya umma.

Jisomee mwenyewe kiambatisho kifuatacho ujionee na uamue wakati ukifika upige kura unayoona inafaa ili tupate katiba itakayolinda maslahi ya Taifa letu.
 

Attachments

  • Katiba Inayopendekezwa - Kwa nini tuseme Hapana.pdf
    17.6 KB · Views: 69
Wana jamii, baada ya kuisoma Rasimu ya Pili ya Katiba na Katiba iliyopendekezwa na BMK na baada ya mmoja wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kutoa changamoto ya kwa nini tupige kura ya Hapana kuikataa Katiba inayopendekezwa na BMK, nimeona niwashirikishe wanajamii wote msome jinsi ambavyo wawakilishi wetu katika BMK wasivyojali maadili ya umma.

Jisomee mwenyewe kiambatisho kifuatacho ujionee na uamue wakati ukifika upige kura unayoona inafaa ili tupate katiba itakayolinda maslahi ya Taifa letu.
Tukisema HAPANA matokeo yake tutaipata "Katiba ya Wananchi?"
 
Back
Top Bottom