hatedthemost
JF-Expert Member
- Oct 20, 2021
- 424
- 271
Habarini wakuu mko salama? naomba kuuliza kuna yeyote aliapply mikopo na akascan kutumia CamScanner?
Je ina madhara?
Msaada tafadhali
Je ina madhara?
Msaada tafadhali
Una chanzo kingine cha kugharamia elimu yako ya juu...!?Habarini wakuu mko salama? naomba kuuliza kuna yeyote aliapply mikopo na akascan kutumia CamScanner?
Je ina madhara?
Msaada tafadhali
Kuna sehemu ya kuattach signed pages mkuuKwa sasa unapaswa kujaza fomu online sizani kama wanapokea za kujazwa manual! Tembelea website ya bodi ya mikopo Tanzania ili ujisajili na kuanza kujaza fomu huku ukipambana na changamoto za kimtandao!
Jibu la swali ni swali lingine jmn?Una chanzo kingine cha kugharamia elimu yako ya juu...!?
Thank you so much.Tumia Adobe Scan.... Ipo playstore...
Uzuri wake haiachi footnote zozote na kuna options nyingi za kuset docs unazoscan..
naomba kuuliza kwenye attachment,kuna sehemu ya kuattach vyeti,mfano form four na form six?,Naomba msaada maana sijaanza kuomba ila nataka nijue ili nifatilie vyeti kama vinahitajikaThank you so much.
Hapana hakuna mahali wanataka vyeti my dear.naomba kuuliza kwenye attachment,kuna sehemu ya kuattach vyeti,mfano form four na form six?,Naomba msaada maana sijaanza kuomba ila nataka nijue ili nifatilie vyeti kama vinahitajika
thanks kwa ufafanuziHapana hakuna mahali wanataka vyeti my dear.
Kaributhanks kwa ufafanuzi
Thank you so muchNdio unaweza na kunasehemu ya kufuta hzo sign za CamScanner na hata ukiacha ainashida unavigezo page zinaonekana utapata mkopo tu