Kusalitiwa na kufumania

Kusalitiwa na kufumania

Tabia ni tabia tu mnaweza kesha na kurudhishana na kusema nimeshiba lakini akitoka hapo tayari tamaa na huwa ni tamaa, kuna msemo mtu aliye zoea rushwa hata umpe mshahara kiasi gani kama kazoea kuhongwa ataomba hata mia 5 ya vocha, nikuomba Mungu tu usipate pressure
Ni kweli ndio maana nikatoa aina ya wanaume
 
tukubali tu dunia ya leo imebadilika sana sisi enzi zetu huwezi kuta wanawake wanavaa nusu uchi kama sasa hii inaondoa sana hamu ya mapenzi zamani mwanaume kwanza ukikutana na mwanamke we mwanaume ndio unaona aibu harafu leo vijana wanajidanganya eti una muundaa mwanamke akojoe mapema hiyo ni dalili ya upungufu wa nguvu za kiume zamani sisi ukimshika mwanamke kwanza unapo ingiza mashine na kukojoa la kwanza na ulaini unaanzia hapo na mtambo haulali hadi bao sita hata zaidi na bado ngoma ina dai,yaani unapiga bao na unamwagia zile nanihii mwanamke mpaka ukimuachia lazima atapike kama mwanamke alikuwa hakusalimii akikuona lazima apige magoti,leo una muaanda mwanamke bado wewe ndio wakwanza kuchoka hii ni hatari kwa afya ya ndoa yako
 
Back
Top Bottom