Danyel mweusi
Member
- Nov 17, 2012
- 81
- 19
vitabu vya dini vya kiislamu na kikristo swala, vinashauri kubariki kwa sala tendo la ndoa kabla ya kulifanya..
Wana jf hili swala mnalichukuliaje practical
Wana jf hili swala mnalichukuliaje practical
vitabu vya dini vya kiislamu na kikristo swala, vinashauri kubariki kwa sala tendo la ndoa kabla ya kulifanya..
Wana jf hili swala mnalichukuliaje practical
Na vile vya haraka haraka kwenye gari je au ofisini? Na mnakuwa mnabariki nini hasa mkuu, kuongeza utamu, msikutwe au nini hasa? Si bora kushukuru baada ya tendo.
Nadhani hakuna shida kwa mke na mume kufanya hivyo
Na vile vya haraka haraka kwenye gari je au ofisini? Na mnakuwa mnabariki nini hasa mkuu, kuongeza utamu, msikutwe au nini hasa? Si bora kushukuru baada ya tendo.
je tukiangalia upande wa pili kwa ambao hawajao ili tendo halistahili kuombea kwani
Kwa ambao hawajaoa itabidi tubadili heading na kuwa ngono badala ya tendo la ndoa maana tendo la ndoa ni kwa waliooa tu. By the way, kwa wasiooa ni sawa mtu aombe wakati wa chakula na kuviombea vinywaji vyote including pombe, hivyo huo ni uzinzi hivyo no need ya kuswali kwa kuwa kifanywacho ni dhambi vitabu vya dini vimezuia hivyo itakuwa ni sawa na kuzima moto kwa petrol
hapo nimekusoma sana mkuu, cha msingi kuacha kuomba kaba ya uzinzi
vitabu vya dini vya kiislamu na kikristo swala, vinashauri kubariki kwa sala tendo la ndoa kabla ya kulifanya..
Wana jf hili swala mnalichukuliaje practical
du! Mimi sijawai...
mke na mume wa ndoa huwa wanastarehe na ni kitendo halali.na kilicho barikiwa so dont wory fanya oga sali...au fanya kula daku oga funga saum
lakini sio kwa kimada hapo utakua unatusi na ni dhambi na ni dhihaka