Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,043
Kusaga alikuwa live anawapigia simu watu na mashirika mbalimbali watoe michango yao kwa ajili ya mapambano ya corona, akampgia Diamond.
Diamond kakubali kuchangia ila kasema mchango wake utatajwa kesho. Kusaga kamwambia ataje wimbo wake ambao upigwe, akachagua sitobaki kama nilivyo wa joel luhagwa.
Akamsisitiza achague wa kwake, akajibu nina nyimbo nyingi nyie chagueni wowote mnaotaka.
Kusaga amsisitiza jamaa kagoma mwisho kasema au pigeni wimbo nilioshirikishwa.
Naona Mond hataki tena nyimbo zake zipigwe Mawingu.
Diamond kakubali kuchangia ila kasema mchango wake utatajwa kesho. Kusaga kamwambia ataje wimbo wake ambao upigwe, akachagua sitobaki kama nilivyo wa joel luhagwa.
Akamsisitiza achague wa kwake, akajibu nina nyimbo nyingi nyie chagueni wowote mnaotaka.
Kusaga amsisitiza jamaa kagoma mwisho kasema au pigeni wimbo nilioshirikishwa.
Naona Mond hataki tena nyimbo zake zipigwe Mawingu.