Habari zenu wakuu.
Kuna jambo leo naomba kuskia kutoka kwenu, hasa wenye uzoefu na usafirishaji watu nchi moja kwenda nyengine.
Kuna kijiwe huwa nashinda mida ya jioni kupoteza muda baada ya mihangaiko ya siku, sasa kuna mabrother flani deal zao huwa ni kuwavusha wasomali kutoka tanzania kwenda zambia kama mjuavyo hapa mpakani tunduma na zambia tupo free tu kuingia nchi nyngne na kutoka pamoja na biashara bila bughudha yoyote
Sasa swali kubwa ni hili ,je wasomali hawaruhusiwi kuhama nchi au kutembelea nchi nyingine? maana hawa watu inasemekana wanasafirishwa kwa gharama kubwa kitu kinachoashiria pesa ya document haiwashindi na hata ukiwafumania ukapiga mkwara kukuachia laki kadhaa ni kawaida, sasa ni kipi hasa kinafanya wawe wanasafiri kimagendo?
Karibuni kwa mchango wenu
Kuna jambo leo naomba kuskia kutoka kwenu, hasa wenye uzoefu na usafirishaji watu nchi moja kwenda nyengine.
Kuna kijiwe huwa nashinda mida ya jioni kupoteza muda baada ya mihangaiko ya siku, sasa kuna mabrother flani deal zao huwa ni kuwavusha wasomali kutoka tanzania kwenda zambia kama mjuavyo hapa mpakani tunduma na zambia tupo free tu kuingia nchi nyngne na kutoka pamoja na biashara bila bughudha yoyote
Sasa swali kubwa ni hili ,je wasomali hawaruhusiwi kuhama nchi au kutembelea nchi nyingine? maana hawa watu inasemekana wanasafirishwa kwa gharama kubwa kitu kinachoashiria pesa ya document haiwashindi na hata ukiwafumania ukapiga mkwara kukuachia laki kadhaa ni kawaida, sasa ni kipi hasa kinafanya wawe wanasafiri kimagendo?
Karibuni kwa mchango wenu