Kusafirisha gari toka zanzibar

Kusafirisha gari toka zanzibar

Blaque

Senior Member
Joined
Feb 11, 2011
Posts
127
Reaction score
105
Heshima kwenu,
Naomba kujua kwa wale waliowahi kusafirisha gari toka Zanzibar ambayo imelipiwa kila kitu na imesajiliwa kwa namba za ZNZ inahitajika kulipia TRA?
Kiasi gani kwa gari isiyozidi 2000cc?
Tafadhali naomba kujua
 
ndugu inategemea hiyo gari imelipiwa sh. ngapi zenji, imeingia lini zenj. mfano gari iliyoingia zenj mwaka juzi ushuru wake unakua mdogo kulinganisha na iloingia mwaka huu. Pia kina kitu tofauti yaani kama gari inatakiwa ilipiwe mil 5 na zenj ikalipiwa Mil 2 manaake hizi 3 lazima ukazilipe bara. ww una gari gani kwani? limeingia lini na ushuru limelipiwa bei gani zenj?
 
Mkuu nashukuru kwa ufafanuzi
Mi nna ndugu yangu anaenda kusoma anataka kuleta gari yake ambayo ina zaidi ya miaka 3 tokea iingie ZNZ na anasema amelipia ushuru vizuri siyo mpya ngoja nicheck naye nijue then ntakufahamisha mkuu shukurani sana
ndugu inategemea hiyo gari imelipiwa sh. ngapi zenji, imeingia lini zenj. mfano gari iliyoingia zenj mwaka juzi ushuru wake unakua mdogo kulinganisha na iloingia mwaka huu. Pia kina kitu tofauti yaani kama gari inatakiwa ilipiwe mil 5 na zenj ikalipiwa Mil 2 manaake hizi 3 lazima ukazilipe bara. ww una gari gani kwani? limeingia lini na ushuru limelipiwa bei gani zenj?
 
Heshima kwenu,
Naomba kujua kwa wale waliowahi kusafirisha gari toka Zanzibar ambayo imelipiwa kila kitu na imesajiliwa kwa namba za ZNZ inahitajika kulipia TRA?
Kiasi gani kwa gari isiyozidi 2000cc?
Tafadhali naomba kujua

Gharama kubwa ni kuisafirisha...kama unatumia agent wa z'bar kuisafirisha na kuiclear bandarini dar, ww anakuletea unaanza kuendesha ikiwa tayari na namba za bara ni kama tzs 1m hivi. Ila gharama kubwa ni usafiri wa meli.
 
Mmhh.,nina mpango wa kwenda kununua gari huko nashukuru nimeshafahamu tozo zinavyokua
 
Gharama kubwa ni kuisafirisha...kama unatumia agent wa z'bar kuisafirisha na kuiclear bandarini dar, ww anakuletea unaanza kuendesha ikiwa tayari na namba za bara ni kama tzs 1m hivi. Ila gharama kubwa ni usafiri wa meli.

mkuu mbona unamtisha? Meli sio gharama kubwa. Ni kama laki mbili na nusu tu pamoja na vibali pamoja na mazagazaga mengine kama bandari n.k
 
Mzoefu aje afunguke zaidi,

Usafirishaji sio bei kubwa esp kwa gari ndogo.Issue ni ushuru wanaotoza huku bara .Na ss hv wamekuwa wakali mbaya hata hongo hawapokei kuogopa safishasafisha ya Mwakiembe.
 
Back
Top Bottom