Kurushwa kwa michuano ya AFCON

Kurushwa kwa michuano ya AFCON

mimi_wewe

Member
Joined
Jul 27, 2014
Posts
70
Reaction score
17
Ukiondoa DSTV,ni vingamuzi gani kati ya zuku,startime,continental,azam vitaweza kuonesha michuano ya AFCON!!?Msaada kwa mwenye ufahamu!!
 
Kama una king'amuzi chenye channel zifuatazo; kbc,Ubc,zbc,rvtge,tpa1,tvmozambique,muvi tv....basi umeula
 
Kwa wanaojua game zitakua zinaanza muda gani naomba msaada kujuzwa.
 
Ukiondoa DSTV,ni vingamuzi gani kati ya zuku,startime,continental,azam vitaweza kuonesha michuano ya AFCON!!?Msaada kwa mwenye ufahamu!!

TBC 2 kupitia startimes wataonesha kuanzia game ya leo kati ya equatorial guinea vs DRC saa moja usiku.
 
Back
Top Bottom