Kaka punguza jazba,ondosha hisia katika hili,fanya utafiti ujiulize kwanini Accacia ndio walipe hilo deni,kama ulisikiliza hotuba ya John L thornton utafahamu kwanini Accacia imeingia katika hili sakata wakati Tanzania ilifanya mkataba na Barrick.....Walisema tutanyolewa bila maji. Wakasema kwenye mazungumzo tumepigwa, sasa wanasema Accacia hawatalipa. Acheni ubwege nyie. After all mazungumzo hayajaihusisha Accacia. Mwambieni huyo mjinga mwenzenu anawalisha maneno ya uongo mnyamaze watu tufanye kazi zetu. Nyie subirini kuchukua nchi kwenye maisha yajayo (In next life) Hapo nasisitiza.
Sawa mkuu. Wewe unajua kuliko wanasheria wa Barrick na akina Kabudi waliofikia uamuzi huu. Nimekuelewa mtaalamu.
Anayeng'ata ni mbwa au mwenye mbwa?Hatuongei na mbwa tunaongea na mwenye mbwa
Sijakuelewa...
Labda urudie kuandika tena kwa ufasaha zaidi, nikusome tena, labda nitakuelewa...
Wewe ni slow learner?,hata hivyo ngoja nione nitakusaidia namna fani?
Mchina wajF.
Na washawasha!
Nimeuliza mpaka nachoka!Swali zuri. Kwa nini US$ 300 million? Na si US$ 200 million, US$ 100 million, US$ 500 million, US$ 50 million etc.? Vimetumika vigezo gani kupata 'good faith' ya US$ 300 million?
Wekeni kumbukumbu sawa! Hawakukubali kulipa, ila walikubali kutoa bilioni 700 ili kuonyesha nia njema! Maana yake walichoahidi kutoa kwa kuwa siyo deni huwezi kuwadai popote! Ndiyo maana wanaonyesha nyodo!Imekuwa hivyo wakati jana tu baraki walikubali kulipa hawa Akasia hata sisi tu hatuwatambui kuwa wasemaji wa mgodi
NAJIULIZA
Sakata hili la madini limenifanya nijiulize maswali yafuatayo.
1.Nini Maana ya kusema Major stakeholder ndiye anayehusika kwenye majadiliano?
2. Ile hoja ya kwamba major stakeholder ndiye mwenye sauti inaishia kwenye majadiliano tu?.
3.Kwanini Baada ya major stakeholder (Barrick) kukubali kulipa, bado Accacia wanasema hawana uwezo Wa kulipa?
4.Au Huu utaratibu Wa kusema Major stakeholder ndo mwenye sauti kwenye majadiliano ndo ulikuwa mtego?
5. Je Acacia wanapaswa kujibizana na Serikali au Barrick(Major stakeholders)?.
Naomba msaada kwa anayeweza kunijibu.
Hapa na ww eti umejenga hojaSawa, ACACIA hawana huo uwezo ila baba yao Barick anao. Na huyo Zitto ni vema akapambana na hali ya chama chake maana anaelekea kubaki peke yake chama.
Mkuu nimekwazika sana halafu wanavojisifu eti iyo tume imeongozwa na "mbobezi" wa masuala ya kisheria uyo Profesa Kala Magamba...sasa mbobezi wa levo ya uprofesa badala uende kukomaa ulipwe trilioni 400 kama walivyodai wanadai...anaenda kuambiwa atalipwa "kikazio uaminifu"
Hii nchii hii...hakuna neno nalichukia kama neno "wasomi" tena wa levo uprofesa
bado lugha gongana. HIYO LUGHA YA NIA NJEMA,ILIKUWA NI KUTOA OVER A PERIOD OF TIME. SASA HWA WAJAMAA WAKAANZA JENGA JUKWAA LA KUCHAFUA WATU KISWAHILI,ILI KUCHUKUA SIFA KISIASA. Sasa wamechafua zaidi hewa, hiyo hela jamaa waliyokubali kuchangia kidogo kidogo hadi ifikie hiyo $300Mn kwa rafiki yao ambaye mrabaha unakatika kabla mwezi haujaenda, watajifikiria jinsi ya kuitoa au wapige dash..Taarifa za hivi punde kutoka DW idhaa ya kiswahili, imesema mamlaka ya juu kabisa toka kwa kurugenzi ya fedha ya Barrick imesema haina pesa za kuilipa Tanzania 300$m kama ilivyokubaliwa katika mazungumzo baina ya Tanzania na Barrick hivi karibuni.
Ni habari ya hivi punde kutoka Radio DW ya Ujerumani Leo mchana, idhaa ya Kiswahili.
Hii tuseme ni janja ya makampuni ya kibeberu yanayotumia mbinu nyingi kuzinyonya inchi za kiafrica?.
Zitto Kabwe ahojiwa na kuilaumu Serikali ya Tanzania kuvujisha habari ambayo kimsingi haikuridhiwa na Acacia Jana.
=====
Acacia Mining says cannot pay $300 million to Tanzania upfront
Oct 20 (Reuters) - Gold miner Acacia Mining Plc does not have the ability to make a $300 million payment to the Tanzanian government to resolve a tax dispute, Chief Financial Officer Andrew Wray said on a call with analysts.
Acacia’s majority stakeholder, Barrick Gold, on Thursday reached an agreement with Tanzania that included a $300 million payment by Acacia and splitting of ‘economic benefits’ from operations with the Tanzanian government. (Reporting by Sanjeeban Sarkar in Bengaluru; Editing by Sunil Nair)
Source: Acacia Mining says cannot pay $300 mln to Tanzania upfront
itakua account ya migodi hii iko chini ya acasia,hawachanganyi,barick corp wana migodi mingi,hii ya kwetu iko chini ya acasia japo yenyewe inamilikiwa na Barick,NAJIULIZA
Sakata hili la madini limenifanya nijiulize maswali yafuatayo.
1.Nini Maana ya kusema Major stakeholder ndiye anayehusika kwenye majadiliano?
2. Ile hoja ya kwamba major stakeholder ndiye mwenye sauti inaishia kwenye majadiliano tu?.
3.Kwanini Baada ya major stakeholder (Barrick) kukubali kulipa, bado Accacia wanasema hawana uwezo Wa kulipa?
4.Au Huu utaratibu Wa kusema Major stakeholder ndo mwenye sauti kwenye majadiliano ndo ulikuwa mtego?
5. Je Acacia wanapaswa kujibizana na Serikali au Barrick(Major stakeholders)?.
Naomba msaada kwa anayeweza kunijibu.
itakua account ya migodi hii iko chini ya acasia,hawachanganyi,barick corp wana migodi mingi,hii ya kwetu iko chini ya acasia japo yenyewe inamilikiwa na Barick,NAJIULIZA
Sakata hili la madini limenifanya nijiulize maswali yafuatayo.
1.Nini Maana ya kusema Major stakeholder ndiye anayehusika kwenye majadiliano?
2. Ile hoja ya kwamba major stakeholder ndiye mwenye sauti inaishia kwenye majadiliano tu?.
3.Kwanini Baada ya major stakeholder (Barrick) kukubali kulipa, bado Accacia wanasema hawana uwezo Wa kulipa?
4.Au Huu utaratibu Wa kusema Major stakeholder ndo mwenye sauti kwenye majadiliano ndo ulikuwa mtego?
5. Je Acacia wanapaswa kujibizana na Serikali au Barrick(Major stakeholders)?.
Naomba msaada kwa anayeweza kunijibu.
Taarifa za hivi punde kutoka DW idhaa ya kiswahili, imesema mamlaka ya juu kabisa toka kwa kurugenzi ya fedha ya Barrick imesema haina pesa za kuilipa Tanzania 300$m kama ilivyokubaliwa katika mazungumzo baina ya Tanzania na Barrick hivi karibuni.
Source: Acacia Mining says cannot pay $300 mln to Tanzania upfront