Kama umefanya hivyo kweli utakuwa na low IQ,kuwaje ushakaa foleni kisha unafanya kitu cha kijinga kama hicho?we unagombana na karatasi lenye picture ya mgombea yeye kalala nyumbani na mkewe umefikiria kwanza umuhimu wa kura yako,maana hiyo kura yako uliyoiharibu labda ndiyo ingemwingiza mgombea unaemtaka wewe,sasa jiandae kuongozwa tena na huyo ulomtoboa toboa.