keis's don
Member
- Aug 11, 2013
- 7
- 1
Nilikuwa naomba msaada wenu wana jf jinsigani naweza kupunguza mwili au dawa gani naweza kutumia mwili ukapungua kwasababu ishakuwa kero siwezi kufanya lolote nipo tu. Naombeni msaada wenu madokta na raiya wenzangu.