Tukusaidie kwa lipi,hujaeleweka
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
kupunguza mawasiliano ni chanzo cha usaliti baina ya mwanamke na mme nsaidien wadau
Ni ukweli kabisa.
Mawasiliano ndo nguzo ya mahusiano. Mawasiliano yakiwa hafifu ni rahisi
kuwa distracted.