relis
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 3,429
- 5,469
Wanajamvi kuna shida gani imejitokeza mpaka kuadimika/kupotea samaki aina ya kibua mtaani maana kama sisi wasela tulizoea ukifika kitaa unaenda ktk duka la samaki unachukua nusu kibua+ugali chumvi nyiiingi,pilipili kwa kachumbali siku inaenda sasa kila tukienda kwenye maduka hayo tunakuta samaki bei 10000 sasa kwa sisi wasela imekuwa kula samaki kama anasa msaada shida iko wapi kwa samaki wetu wapendwa kibua?

