DoubleOSeven
JF-Expert Member
- Jul 5, 2008
- 661
- 143
A renewed plunge in oil prices is a worrying sign of weakness in the global economy that could shake governments dependent on oil revenues. It is also a panacea as pump prices fall, giving individuals more disposable income and lowering costs for many businesses.
.... Pipa la mafuta kwa bei ya USD 78 ni kushuka kwa zaidi ya asilimia 30 ukilinganisha na bei ya awali. Pamoja na porojo za ununuzi wa pamoja wa bidhaa hii kwa ajili ya soko la Tanzania, bado bei ya rejareja iko pale pale. Kisingizio ni pamoja na kuporomoka kwa thamani ya shillingi ya Tanzania. Ukweli ni kwamba bei ikishushwa makusanyo ya tozo za kodi mbalimbali yatashuka mno. Sasa na wanywaji bia nao wakisusa sijui itakuwaje!
.... Pipa la mafuta kwa bei ya USD 78 ni kushuka kwa zaidi ya asilimia 30 ukilinganisha na bei ya awali. Pamoja na porojo za ununuzi wa pamoja wa bidhaa hii kwa ajili ya soko la Tanzania, bado bei ya rejareja iko pale pale. Kisingizio ni pamoja na kuporomoka kwa thamani ya shillingi ya Tanzania. Ukweli ni kwamba bei ikishushwa makusanyo ya tozo za kodi mbalimbali yatashuka mno. Sasa na wanywaji bia nao wakisusa sijui itakuwaje!