treva_travis
Member
- Jul 27, 2017
- 9
- 4
Yaani ni week ya pili sasa mdomo umeenda pembeni. Nimetumia dawa bado kwa sijapona. Anaejua dawa pls anijuze.
Pia soma
Pia soma
Ugonjwa wa kiharusi/ kupooza (stroke): Kinga, tiba na jinsi ya kukabiliana na maradhi haya
MARADHI YA KIHARUSI Kiharusi ni hali inayotokea pale mishipa inayosambaza damu kwenye ubongo inapopatwa na misukosuko kiasi cha kushindwa kupeleka damu kwenye ubongo na hivyo kuathiri ufanyaji kazi wa ubongo kwa zaidi ya masaa 24. Kulingana na shirika la afya duniani kiharusi ni nakisi katika...
www.jamiiforums.com