kama miguu na mikono haijapat athari basi hiyo sio stroke....ni ugonjwa unaosababishwa na infections kwenye nerves...ni kwamba unatibika kwa dawa za hospitali...ni hiyo hali ya kupinda kwa mdomo itarudi pole pole ndani ya mwezi mmoja hadi mitatuYaani ni week ya pili sasa mdomo umeenda pembeni. Nimetumia dawa bado kwa sijapona. Anaejua dawa pls anijuze.
Sent using Jamii Forums mobile app
....Imekuwa siri tena?Ndugu yangu nami nilikuwa na tatizo Kam
a hill, niliangaika sana na atimaye nilipata ufumbuzi, Kwa faida yako nifuate "INBOX" Nitakusaidia bure bila shaka Mungu atakuponya, Vinginevyo utatumia gharama kubwa bila ya mafanikio.
mmmh kwenye matibabu vilivyojificha ni vipi? basi sawaKuna vitu vilivyojificha nataka niwaeleze, nimesema ni Bure tu; siitaji pesa jamani.Nami nilikuwa hivyo! Tens wengi wao uelekea kushoto.
Yaani ni week ya pili sasa mdomo umeenda pembeni. Nimetumia dawa bado kwa sijapona. Anaejua dawa pls anijuze.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani ni week ya pili sasa mdomo umeenda pembeni. Nimetumia dawa bado kwa sijapona. Anaejua dawa pls anijuze.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nervous system kakaUhusiano wa kiharusi na kupinda mdomo ni upi??
Hizi dawa za kusaidia wengi mpaka pm dah una roho mbaya.Ndugu yangu nami nilikuwa na tatizo Kam
a hill, niliangaika sana na atimaye nilipata ufumbuzi, Kwa faida yako nifuate "INBOX" Nitakusaidia bure bila shaka Mungu atakuponya, Vinginevyo utatumia gharama kubwa bila ya mafanikio.
Ufafanuzi mfupi kama hutojali mkuu ili nielewe vizuri
acha roho mbaya weka ujuzi huo bayana kila mtu aijue tiba,asa inbox ili iweje?Ndugu yangu nami nilikuwa na tatizo Kam
a hill, niliangaika sana na atimaye nilipata ufumbuzi, Kwa faida yako nifuate "INBOX" Nitakusaidia bure bila shaka Mungu atakuponya, Vinginevyo utatumia gharama kubwa bila ya mafanikio.