so they say PJ, its about time............But I wonder why people are scared to death of kuachwa/kuachika even if they are not madly in love. watu wanasahau kuna mazoea na mapenzi. kama mmezoeana tu hakuna kuchanganyikiwa,sana sana yatakuwa mawazo ya siku mbili tatu then kwishinei.
ISSUE NI KWAMBA, UNATAKIWA USIFANYE MAAMUZI YOYOTE NDANI YA HIZO SIKU CHUNGU, UTAHARIBU!!