Naomba msaada kuna mtoto amepofuka ghafla umri wake ni miaka 18 ilitokea ghafla jicho moja likaanza kupoteza sight hadi leo hii haoni na lingine limeanza mchezo huo.
Naomba kufahamu tatizo ni nini hana ugonjwa wowote wala maradhi ambayo tutasema huenda imesababisha maana kichwa kilikuwa kinauma tu na ndio tatizo likaendelea hivyo.
Naomba msaada kuna mtoto amepofuka ghafla umri wake ni miaka 18 ilitokea ghafla jicho moja likaanza kupoteza sight hadi leo hii haoni na lingine limeanza mchezo huo.
Naomba kufahamu tatizo ni nini hana ugonjwa wowote wala maradhi ambayo tutasema huenda imesababisha maana kichwa kilikuwa kinauma tu na ndio tatizo likaendelea hivyo.
Naomba msaada kuna mtoto amepofuka ghafla umri wake ni miaka 18 ilitokea ghafla jicho moja likaanza kupoteza sight hadi leo hii haoni na lingine limeanza mchezo huo.
Naomba kufahamu tatizo ni nini hana ugonjwa wowote wala maradhi ambayo tutasema huenda imesababisha maana kichwa kilikuwa kinauma tu na ndio tatizo likaendelea hivyo.
Kuna ugonjwa umeingia mjini unaitwa Maradhi ya Presha ya macho ni hatari unaweza kupofuka macho. Akihitaji dawa huyo mtoto ya kuweza kuona macho yake anitafute mimi kwa kubonyeza hapa.Mawasiliano
Kuna ugonjwa umeingia mjini unaitwa Maradhi ya Presha ya macho ni hatari unaweza kupofuka macho. Akihitaji dawa huyo mtoto ya kuweza kuona macho yake anitafute mimi kwa kubonyeza hapa.Mawasiliano
Na mauchawi nayo yapo msibeze. Nguvu za giza zipo toka zamani na zimeandikwa hata kwenye bible, najua mtanibishia....... ukiona hospitali hawaoni kitu stuka! Mpeleke akaombewe.
Na mauchawi nayo yapo msibeze. Nguvu za giza zipo toka zamani na zimeandikwa hata kwenye bible, najua mtanibishia....... ukiona hospitali hawaoni kitu stuka! Mpeleke akaombewe.
Nashukuru mkuu hospitali wamempima hawajaona chochote tuliamua kutompa dawa waliyotoa hospitali kwa kuhisi huenda itamsaidia ila tuliamua kuacha maana hamna haja ya kumpa dawa wakati hana ugonjwa, tumempeleka kwenye maombi na sasa ameanza kuona kwa karibu na tunaamini kuona kwake kutarudi kama kawaida dawa tuliamua tusitumie kabisa na sasa anaendelea tu na maombi
Wkati mwingine kuna matatizo ntu anazaliwa nayo ila yanajitokeza ukubwani, hata hayo ya macho inaweza kuwa hivyo, mara nyingi ni ngumu kutibika, ila waone mabingwa wa macho.