habari wana jamii mwenye kiwanja ambacho hakijapimwa, na anataka kupimiwa mpaka kupata hati, hana muda wa kufanya process za kufatilia wizarani na munispaa wasiliana nasi tunafanya huduma hizo kwa haraka na bei ya kawaida wasiliana nasi kwa namba 0712029027
Mkewangu hembu fafanua vizuri,hii issue watu wapo wengi wanakwepa usumbufu.habari wana jamii mwenye kiwanja ambacho hakijapimwa, na anataka kupimiwa mpaka kupata hati, hana muda wa kufanya process za kufatilia wizarani na munispaa wasiliana nasi tunafanya huduma hizo kwa haraka na bei ya kawaida wasiliana nasi kwa namba 0712029027
Hizo 4 M ni kwa eneo la ukubwa gani?
Ekari kumi mkuu maana naona jamaa mwenyeewe anaandika kkitu bila kuwa na details kamili
Duh kweli ujinga ni gharama sana, kuangalia eneo ni laki 3? Yani kupata mchoro wa jiji na kuchukua Gps na kwenda eneo husika 300,000? Mmh
Hizo 4 M ni kwa eneo la ukubwa gani?
Vizuri achanganue zaidi
Bro we are all born ignorant, hii si dhambi, dhambi ni kutokuukana huo ujinga kwa kutafuta maarifa, elimu na kweli, nakuomba utusaidie kutupa facts za gharama halisi, utakuwa umetutendea haki sisi waja wa Allah, nawe utaipata thawabu
Huhitaji kugharamia kujua plot yako kama imepimwa ama la. Hujui Global Position System (GPS)? Basi utaendele kuibiwa tupu, hiyo ni elimu ya basic kbs, gps ziko mpk za laki tu na simu zingine ziko nayo.
Afu punguza maneno ya kiswahili swahili
Duh kweli ujinga ni gharama sana, kuangalia eneo ni laki 3? Yani kupata mchoro wa jiji na kuchukua Gps na kwenda eneo husika 300,000? Mmh