EthanMallaky
Member
- Oct 28, 2017
- 57
- 30
utakuja kunambia siku moja labda uwe woman na wewe kama kweli man utakuja kunambiaBaki na stori zako na nyoka, ila uhalisia unauona mwenyewe.
Kujumuisha kwa Kusema wanamke ni dhaifu huu ni ujuha na wakati kuna wanaume dhaifu kuzidi wanawake.
tofauti za kijinsia kati ya mwanamke na mwanamme sio udhaifu.Hahahhaha Mungu hajui alama za nyakati? Anyway endelea kuwasujudia
Bado anaishi kwenye zama za giza ambapo mwanamke alikua anabaguliwa kila sector ata kwenye kutoa mawazoUnataka ugundue nn?
Wewe reasoning yako ni ya kiwango gani?
Anyway, unachokitafuta utakipata ila ki uhalisia wanawake wengi mambo mengi tunafanana mama zetu, ukiona MTU ambae hajitambui hata kwenye vitu vidogo, research yako ianzie kwa mama yake. Mtoto umleavyooooooo.....!
Na usisahau kuwa % kubwa ya wanawake walio wengi mungu kawajalia uwezo mkubwa wa kufikiri, na huwezi kumtambua MTU kwa kumuona tu, wewe angalia matendooo.
Nikuambie nitakukuta wapi hiyo siku kuwa serious kijana yaani nije kukutafuta nikuambie udhaifu wa mtu.utakuja kunambia siku moja labda uwe woman na wewe kama kweli man utakuja kunambia
tutakutana humuhumuNikuambie nitakukuta wapi hiyo siku kuwa serious kijana yaani nije kukutafuta nikuambie udhaifu wa mtu.
Niambie udhaifu wa mwanamke upo kwenye nini.
Usipoteze muda wako kumuelewesha huyo, muandiko tu unaonesha ni mtu wa aina ganiMwanamme mwenye mawazo haya namuona hajastaarabika kwangu.
Wanawake wapo hadi mimi walionizidi na hata wewe najua wapo waliokuzidi kila kitu isipokuwa tofauti za kibailojia hizi hazikufanyi umzidi maana ni tofauti.
Sasa kama mwanamke.
-anakuzidi pesa/uchumi
-anakuzidi uwezo kupambanua mambo
-Elimu
-ushawishi
-power/maamuzi
Utasema huyu ni dhaifu?
Udhaifu wa mwanamke upo wapi?tutakutana humuhumu
Muda wa kusema mwanamke ni dhaifu ulishapita.Usipoteze muda wako kumuelewesha huyo, muandiko tu unaonesha ni mtu wa aina gani
Sijakataa na umeniquote vibaya hakuna sehem nimesema nawazidi wanawake katika hizo nyanjaKwani nyie huwa mnadhani mwanamke ni nini? Kuna wanwake vilaza kama walivyo wanaume wengine na kuna wanawake wapo vizuri kama walivyo wanaume wengine.
Wewe kwa mfano nakuhakikishia kuna wanawake humu wanakuzidi uwezo kuanzia mwandiko hadi kujieleza bisha nikuitie hapa.
sio kosa lakoUsipoteze muda wako kumuelewesha huyo, muandiko tu unaonesha ni mtu wa aina gani
Wewe Bila shaka hujalelewa na babaWanaume siku hizi ndiyo tumekua dhaifu na tunazidi kuwa dhaifu. Udhaifu wa wanawake siku hizi unabakia kwenye mascularity tu.. vingine wanakuzidi wewe
Pesa,elimu,Akili za maisha, kila kitu. Sasa kiumbe chenye nguvu kitaanza kujadili udhaifu wa kiumbe dhaifu wtf!!
Bahati mbaya huyu hana MamaUnataka ugundue nn?
Wewe reasoning yako ni ya kiwango gani?
Anyway, unachokitafuta utakipata ila ki uhalisia wanawake wengi mambo mengi tunafanana mama zetu, ukiona MTU ambae hajitambui hata kwenye vitu vidogo, research yako ianzie kwa mama yake. Mtoto umleavyooooooo.....!
Na usisahau kuwa % kubwa ya wanawake walio wengi mungu kawajalia uwezo mkubwa wa kufikiri, na huwezi kumtambua MTU kwa kumuona tu, wewe angalia matendooo.
kweli sikuhizi hatusemi tunanyamaza lakin tunajua mwanamke ni kama mtoto,ukiwa nae ishi nae kwa busara na akili vinginevyo hamtafika salamaMuda wa kusema mwanamke ni dhaifu ulishapita.
Ok.Sijakataa na umeniquote vibaya hakuna sehem nimesema nawazidi wanawake katika hizo nyanja
Hahahaa kuna usemi kwamba mwanamke akiwa na makalio makubwa akili sufuriMwanamke ni mwanamke tu hata awe ana mabawa...kuna ka demu hapa nilipopanga ni kazuri ila kana akili ndogo sijapata kuona...ilikuwa jpl...kakaniomba elf 5, nikaona kukapa bure ni makosa nikakapa nguo chache kanifulie...nikaenda zangu ..nimekuja kurudi j4 bado hakajafua...kalivoniona kakaanza kuzifua..kakaanika, jioni mvua inanyesha hakakuzianua..zikalowa ikawa j5...kakaziacha pia zikalowa hadi jana...yani mpaka muda huu zipo kwenye kamba kweli wanawake ni wanawake tu...haka kabinti kana matako makubwa lakini akili ndogo kama punje ya ulezi....
Ni Kukengeuka huko wala hakumaanishi kwamba ndio wana powerAliyewaumba hakuwahi kuwapa nafasi na au hata kuwahesabu.
Ila leo wanawake wana kaya zao kama wanaume tulivyo, wana wahubiria hadi makanisani kama tufanyavyo wana nguvu na ushawishi kama tulivyo.
Aliyewaumba alikuwa hajasoma nyakati tu. niite mario ila naweza kuwa babayako.
Maswali atakujib vzur na saut nzur na vicheko vya kixchokoz utajua anajitambua..njoo kwenye matendo ni zero..action talksAhsantee Mkuu