Kupima HIV inahitaji moyo

Hhaaaa kwenye kupima utajiaminije wakati unaemuamini /anaekuamini ndie anaekumbukiza HIV?
Hahaha kwa hali hii hata mimi nimeanza kuogopa kupima Pima , zamani nilikuwa najidungua tu muda wowote with full confidence.
Ila sasa hivi lazima jasho likutoke dadekiiii.
 
haaaaaaaaaaaahaaaaa mbavu zangu kwi kwi kwii
 
we acha tu!hyo siku nusu nijikojolee nikisubiri majibu
 
namba tano ingia! unajua ukimwi ni ugonjwa km magonjwa mengine lakini unahitaji kuchukua tahadhari katika mahusiano ya kimapenzi. zipo njia nyingi za kujikinga na maambukizi mapya ya VVU natumaini unazifahamu.Pia umefanya jambo la msingi sana kuja kupima na kujua hali ya afya yako...(mpaka hapo mtu mimacho imetoka huku huku kwapa zikivuja jasho) then unaambiwa HONGERA UKO SALAMA! Unaweza kudhani unakudanganya kutokana na orodha yako ya ngono zembe. UKIMWI HATARIIIIIII!
 
Hii imo humu
 
Kazi zaidi ni kupewa uhakika kwamba kweli hakipo!

Uhakika upo

Nenda kamuulize ambae umeamua kwa hiyari yako kumpa mamlaka ya kukupa majibu ya asichokijua na hajawahi hata kukiona anachokiangalia kwenye damu yako na bado unadhani atakupa majibu ya uhakika kwamba unao au huna
 
Ndo raia uko juu ka coment ati ukimwi ishakuwa ugonjwa wa kawaida, labda kama anao la aivyo sikia tu kwa mwenzako
 
Mkuu inaonekana kuna mengi unayajua kuhusu hii ishu, funguka....

HIV haisababishi Ukimwi kwa namna yoyote ile kwasababu hakuna virusi vya aina hiyo,kwa kifupi hakuna aliewahi kuviona

Ukimwi upo lakini hausababishwi na virusi hao wa HIV,bali unasabishwa na mtindo wa maisha tu kama utumiaji wa pombe,madawa ya kulevya n.k

Ukimwi hauambukizwi kwa kujamiiana
 
Sijawahi kuogopa kupima maana nilikuwa lazima tupime ndo ku-do inafuata
Mkuu ina maana kila kabla ya ku do mnapima kwanza/kama ni hivyo demu hakimbii na kukuacga au kukuambia kuwa kwani unataka kumuoa/
BUT hongera...
 
Umenikumbusha last time nilivyopima. Ilikuwa ni lazima kwa waajiriwa wapya kufanyiwa medical checkup ya kila kitu hadi HIV. Hivyo nilitakiwa kwenda kwenye hospital waliyorecommend alafu majibu hospital yenyewe itapeleka.
Mpimaji akaniuliza uko tayari kupima HIV nikamjibu ndio ila majibu msinipe (sababu by then niligundua jamaa yangu alikuwa anachepuka). Baba wa watu akaendeleza ushauri mpaka kikaeleweka. Finaly nikapokea majibu yakiwa mazuri. Ila jasho lilinitoka na uzito ulipungua sababu sikuweza kula na majibu ilikuwa kesho yake
 
Mkuu ina maana kila kabla ya ku do mnapima kwanza/kama ni hivyo demu hakimbii na kukuacga au kukuambia kuwa kwani unataka kumuoa/
BUT hongera...
mkuu hata demu wangu nikishakuwa naye mbali nikirudi tunapima,hao vicheche wengi lazima angaza tukatobolewe kwanza
 

Kwa hiyo watu huugua ninii???
 
mkuu hata demu wangu nikishakuwa naye mbali nikirudi tunapima,hao vicheche wengi lazima angaza tukatobolewe kwanza
Viol wewe ni nomaaaaaa,unajali sana,sipati picha sasa hivi wanakuangalia hapa kuwa ukitaka kuwagegeda unaenda kuwachoma...safi sana,mi nakuunga mkono,BIG UP,Wengine wanaogopa kumwambia kupima eti kamwangaikia muda MMrefu akimwambia kupima mara ya kwanza eti "ndege" atakimbia...
 
Hii tabia ya kupimapima hovyo mkidhani ni sifa iko siku mtu utajiharishia hadharani.fanya kupima pale kwenye umuhimu Tu. Michepuko siyo dili baki njia kuu.
 
vicheche utawajua,ukiwaambia tukapime leo atakwepa mwishoni humgongi anaanza kukupotezea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…