Nauliza: Hivi kosa la kumpiga polisi adhabu yake ni nini mtu akipatikana na hatia chini ya Kanani ya Adhabu? Sina hakika mimi, lakini nadhani ni kifungo tu bila ya faini. Kama ni hivyo, unless kina Makamba/Manumba/ridhwani watamuokoa, huyo mgombea wa CCM sasa ni finished politically.
Labda compromise moja tu inaweza kumuokoa huyu, kwamba wote wawili -- yeye na Shibuda waachiliwe mara moja. In fact kosa la Shibuda silioni, hakuwepo eneo la tukio, labda wa-prove kwamba aliwatuma wafuasi wake wakamwuue huyo dereva.