Kupigwa Kwa Wabunge Bungeni!: Askari wanaoruhusiwa Bungeni Ni wale wa Bunge Tu

TL. Marandu

JF-Expert Member
Jul 12, 2015
3,625
5,807
Labda Kuwe na Gaidi anataka Kulipua Bunge, Askari wanatumiwa Bungeni Ni wale wa Bunge Tu. Kuleta FFU Bungeni, Usalama wa Taifa Askari Kanzu Kupiga wabunge ati ili wakubali Kuburuzwa Ni Serikali Kuingilia Bunge. Na Huyu Mpuuzi Chenge Kama anajua Sheria asingetumia askari hao.

Natamani Nikiamka asubuhi, najua Huko ni karibu na Mchana Nikute Huyu Endrew Chenge, Ameondolwwa haraka sana. Vinginevyo kama Mwendo Ni Huu Nchi itachafuka, Can U Imagine, Mbunge wa Chadema let say Halima Mdee au Kubenea awe na High blood presure yake tu na kwa kusukumwa au Kupigwa na Askari Afie Kwenye Ukumbi Pale. Nchi si Itawaka.

Anachokifanya Nape Ni Kuwanyima wananchi fursa, ya Kujua wabunge wao wanajadili nini Bungeni, Tetesi zilizopo ni kwamba kurushwa kwa Vikao vya Bunge Moja kwa Moja imedaiwa ndicho kigezo kikubwa sana cha kukua kwa Upinzani. Kitu ambacho CCM katika Vikao vyao vya siri walipanga kuweka udhibiti mkali. Nape Ni waziri wa habari Kwa Kazi hiyo Maalu, "Kufinya" NDIO MKAKATI MPYA HUO. CCM Wabishe

Mimi kwa Niaba ya Watanzania wapenda Amani, Naomba Spika wa Bunge Joab Ndugai Amweke Pembeni Chenge as soo as Yesterday.
 
Nchi iwake kisa kafa mbunge?? Wabunge wenyewe hawa ma-checkbob wanaopigania ustawi wao wa kisiasa tu!!

Kama hawataki polisi waingie ndani ya ukumbi wa bunge basi watii amri za spika/mwenyekiti otherwise hata mgambo wataendelea kuingia.

Mmeambiwa mkae kimya nyie mnapiga kelele mkaambiwa mtoke nje nyie hamtaki what do you expect?

Ugonjwa siyo tiketi ya wewe kutokupigwa,utapigwa tu na ukifa utazikwa na nchi ikiwaka kuna fire extinguishers za kutosha.
 
Nchi iwake kisa kafa mbunge?? Wabunge wenyewe hawa ma-checkbob wanaopigania ustawi wao wa kisiasa tu!!

Kama hawataki polisi waingie ndani ya ukumbi wa bunge basi watii amri za spika/mwenyekiti otherwise hata mgambo wataendelea kuingia.

Mmeambiwa mkae kimya nyie mnapiga kelele mkaambiwa mtoke nje nyie hamtaki what do you expect?

Ugonjwa siyo tiketi ya wewe kutokupigwa,utapigwa tu na ukifa utazikwa na nchi ikiwaka kuna fire extinguishers za kutosha.
Umefikiria kwa kutumia tumbo au kichwa? Naona umeandika uchafu
 
Nchi iwake kisa kafa mbunge?? Wabunge wenyewe hawa ma-checkbob wanaopigania ustawi wao wa kisiasa tu!!

Kama hawataki polisi waingie ndani ya ukumbi wa bunge basi watii amri za spika/mwenyekiti otherwise hata mgambo wataendelea kuingia.

Mmeambiwa mkae kimya nyie mnapiga kelele mkaambiwa mtoke nje nyie hamtaki what do you expect?

Ugonjwa siyo tiketi ya wewe kutokupigwa,utapigwa tu na ukifa utazikwa na nchi ikiwaka kuna fire extinguishers za kutosha.

Duniani Kote Mabunge yanakuwa na Misuguano, Inahitaji Maspika na Wenyeviti wenye Hekima, Na Hata Nashangaa kuwa Chenge kwa Kasfa zake na Kiburi chake hata sifa ya Kuwa Mbunge hana. Anatakiwa Kuwa Segerea
 
Naona mvutano umekuwa mkali. Mi napendekeza hivi.
1. Mpango wa serikali kubana matumizi ubaki palepale ili tujenge nchi yetu. Na TBC waendelee na ratiba za matangazo kama walivyopangiwa kufanya na walipwe kihalali kulinga na kazi itakayofanyika.
2. Kampuni nyingine za TV ziruhusiwe kurusha bunge live lakini kwa sharti kwamba Kampuni ililipe bunge kwa dakika ambazo TV hiyo it arusha bunge live. Na malipo yafanyike kwa kulipiwa kwa gharama wanazotoza TVs wanaporusha matangazo ya biashara.
Hii itawezesha bunge kufanya biashara na majadiliano ya bunge yakiwa ni bidhaa. Na pia itaongeza pato la taifa.
 
Labda Kuwe na Gaidi anataka Kulipua Bunge, Askari wanatumiwa Bungeni Ni wale wa Bunge Tu. Kuleta FFU Bungeni, Usalama wa Taifa Askari Kanzu Kupiga wabunge ati ili wakubali Kuburuzwa Ni Serikali Kuingilia Bunge. Na Huyu Mpuuzi Chenge Kama anajua Sheria asingetumia askari hao.

Nataka Nikiamka asubuhi, najua Huko ni karibu na Mchana Nikute Huyu Endrew Chenge, Ameondolwwa haraka sana. Vinginevyo kama Mwendo Ni Huu Nchi itachafuka, Can U Imagine, Mbunge wa Chadema let say Halima Mdee au Kubenea awe na High blood presure yake tu na kwa kusukumwa au Kupigwa na Askari Afie Kwenye Ukumbi Pale. Nchi si Itawaka.

Anachokifanya Nape Ni Kuwanyima wananchi fursa, ya Kujua wabunge wao wanajadili nini Bungeni, Tetesi zilizopo ni kwamba kurushwa kwa Vikao vya Bunge Moja kwa Moja imedaiwa ndicho kigezo kikubwa sana cha kukua kwa Upinzani. Kitu ambacho CCM katika Vikao vyao vya siri walipanga kuweka udhibiti mkali. Nape Ni waziri wa habari Kwa Kazi hiyo Maalu, "Kufinya" NDIO MKAKATI MPYA HUO. CCM Wabishe

Mimi kwa Niaba ya Watanzania wapenda Amani, Naomba Spika wa Bunge Joab Nduga Amweke Pembeni Chenge as soo as Yesterday.
Kwenda zako! kwani we ndio nani hata umpe amri mwenyekiti wa bunge?
 
Duniani Kote Mabunge yanakuwa na Misuguano, Inahitaji Maspika na Wenyeviti wenye Hekima, Na Hata Nashangaa kuwa Chenge kwa Kasfa zake na Kiburi chake hata sifa ya Kuwa Mbunge hana. Anatakiwa Kuwa Segerea

Looking for publicity through media is not the best way to win publics attention. Siungi mkono udikteta lakini lazima hekima inahitajika hata kwa wabunge.
 
Kwenda zako! kwani we ndio nani hata umpe amri mwenyekiti wa bunge?
soma mpaka mwisho Ujue Nimesema nini Unakurupuka Kujibu bila kusoma kila kitu, Mambo Kama haya yatamfanya Rais aanze kueleweka Vibaya. Kwa hili wanamhujumu Rais, Ili afanikiwe anatakiwa asiruhusu mambo yanayoleta shuku na kufanya akose Ushirikiano. Rais Magufuli anaweza Kusaidiwa sana na Wapinzani kwani anafanya mambo wanayoyapenda. Sasa hili la TBC ni kutafuta Uadui na Vita vya Kujihujumu, Mwenyewe.
 
Askari hawaruhusiwi kuingilia mambo ya bunge...hata ukiona mabunge yote duniani wakigombana wanatiana ngumi wenyewe bila ya polisi. Kutumia polisi ni mkakati wa Ngugai alomuahidi Magufuli baada ya zomea zomea kwa Shein siku ya ufunguzi wa bunge ,alisema atatumia nguvu kuwakomesha . Hivyo hii vita ni kuendela na mara hii ccm wamejitayarisha kabisa kabisa kuwa rubber stamp. Hawataishika serikali yao kwa namna yoyote ile . Ile semina yao waliweka mkakati wa kutofata hoja za wapinza hata zikiwa na maslahi ya Taifa. Ndio maana wamekuja na jeuri ya kumchagua Chenge bila ya aibu
Wingi wao si lolote kwa manufaa ya Taifa. Hawatajoji chochote wameamua kuwa Yes Man
 
Labda Kuwe na Gaidi anataka Kulipua Bunge, Askari wanatumiwa Bungeni Ni wale wa Bunge Tu. Kuleta FFU Bungeni, Usalama wa Taifa Askari Kanzu Kupiga wabunge ati ili wakubali Kuburuzwa Ni Serikali Kuingilia Bunge. Na Huyu Mpuuzi Chenge Kama anajua Sheria asingetumia askari hao.

Nataka Nikiamka asubuhi, najua Huko ni karibu na Mchana Nikute Huyu Endrew Chenge, Ameondolwwa haraka sana. Vinginevyo kama Mwendo Ni Huu Nchi itachafuka, Can U Imagine, Mbunge wa Chadema let say Halima Mdee au Kubenea awe na High blood presure yake tu na kwa kusukumwa au Kupigwa na Askari Afie Kwenye Ukumbi Pale. Nchi si Itawaka.

Anachokifanya Nape Ni Kuwanyima wananchi fursa, ya Kujua wabunge wao wanajadili nini Bungeni, Tetesi zilizopo ni kwamba kurushwa kwa Vikao vya Bunge Moja kwa Moja imedaiwa ndicho kigezo kikubwa sana cha kukua kwa Upinzani. Kitu ambacho CCM katika Vikao vyao vya siri walipanga kuweka udhibiti mkali. Nape Ni waziri wa habari Kwa Kazi hiyo Maalu, "Kufinya" NDIO MKAKATI MPYA HUO. CCM Wabishe

Mimi kwa Niaba ya Watanzania wapenda Amani, Naomba Spika wa Bunge Joab Nduga Amweke Pembeni Chenge as soo as Yesterday.
Naunga mkono hoja sio haki kabisa wapinzani wanadharauliwa sana huko bungeni wanaonekana wenyewe hawana haki
 
Ninachokiona hapa Tanganyika ni kwamba CCM wamelewa madaraka hata wamejisahau hii nchi ni yetu sote na hakuna mwenye hakimiliki na nchi hii.....
Ninachowakumbusha CCM ni kwamba jahazi likitoboka hakuna atakayebaki salama...
 
Duniani Kote Mabunge yanakuwa na Misuguano, Inahitaji Maspika na Wenyeviti wenye Hekima, Na Hata Nashangaa kuwa Chenge kwa Kasfa zake na Kiburi chake hata sifa ya Kuwa Mbunge hana. Anatakiwa Kuwa Segerea

Ungeenda ukamshitaki au ufuate ushauri wa Lowassa wa ku-shut up.

Hiyo hekima wawe nayo hao wahuni la sivyo ni jino kwa jino tu huu siyo muda wa kubembelezana.

Watu hawataki kusikiliza wanapiga kelele na hawataki kutoka nje.

Wewe kama chairman ungetumia busara gani sasa.

Dawa ya wahuni ni kuwa mhuni zaidi Yao.
 
Looking for publicity through media is not the best way to win publics attention. Siungi mkono udikteta lakini lazima hekima inahitajika hata kwa wabunge.
Hayo Ni Maoni yako, Bunge la Mazingira ya Tanzania, Kuonekana Live Kunasaidia kuondoa Uonevu, Na Pia Kujua Nani Yuko Bungeni Kwa Maslahi yake na Nani anafanya yale wananchi waliomtuma. Pia wananchi wanapata Fursa ya Kufuatilia Kwa Karibu Maswala Muhimu. Kuwaza tu Kuwa TBC ni kwa ajili ya Publicity ni Utoto, Unafiki, na Kuturudisha Nyuma kwa hatua nzuri tuliyoifikia ya Uwazi Bungeni.
 
Inabidi wabunge waupinzani wapige KURA ya kutokuwa na IMANi na TULIA
 
nawapa pole sana wabunge wa ukawa. nasikia baada ya polis kuingizwa bungeni wengine waliibiwa simu zao.....
 
Nchi iwake kisa kafa mbunge?? Wabunge wenyewe hawa ma-checkbob wanaopigania ustawi wao wa kisiasa tu!!

Kama hawataki polisi waingie ndani ya ukumbi wa bunge basi watii amri za spika/mwenyekiti otherwise hata mgambo wataendelea kuingia.

Mmeambiwa mkae kimya nyie mnapiga kelele mkaambiwa mtoke nje nyie hamtaki what do you expect?

Ugonjwa siyo tiketi ya wewe kutokupigwa,utapigwa tu na ukifa utazikwa na nchi ikiwaka kuna fire extinguishers za kutosha.
Utakuwa mpumbavu sana bora sikufahamu
 
Ungeenda ukamshitaki au ufuate ushauri wa Lowassa wa ku-shut up.

Hiyo hekima wawe nayo hao wahuni la sivyo ni jino kwa jino tu huu siyo muda wa kubembelezana.

Watu hawataki kusikiliza wanapiga kelele na hawataki kutoka nje.

Wewe kama chairman ungetumia busara gani sasa.

Dawa ya wahuni ni kuwa mhuni zaidi Yao.
RUSWA, WIZI, UFISADI WA CHENGE HAUNA MJADALA, NI MWIZI, Sijui Kama Unajua hata Basics za Sheria Mwananchi wa Kawaida hawezi Kufuungulia Mtu Kesi ya Jinai. Nikusaidie, Ukila Ruswa au Ukiifanya Ujambazi, Au Kiua au Ukibaka, anayekushitaki sio Victim, bali ni Serikali. Tukiwa na Mgogoro wa Ardhi au Madai ya Mikopo etc, Naweza Kukushitaki Kwa Kesi ya Madai. Unaniambia Nimshitaki Chenge? Mwambie Rais Na Serikali Ndio wenye Uwezo huo. Mbona Waliiweza Kumshitaki Masamaki!

Ningekuwa Chairman, Ningeahirisha Bunge, Swala Hilo Lingejadiliwa kwa Uwazi, Serikali itoe hoja zake. Na Pia Ni kwamba Serikali kama Mhimili Haiwezi Kutoa maagizo kwa bunge jinsi ya Kujiendesha. Na wakubaliwe bila mjadala.
 
Labda Kuwe na Gaidi anataka Kulipua Bunge, Askari wanatumiwa Bungeni Ni wale wa Bunge Tu. Kuleta FFU Bungeni, Usalama wa Taifa Askari Kanzu Kupiga wabunge ati ili wakubali Kuburuzwa Ni Serikali Kuingilia Bunge. Na Huyu Mpuuzi Chenge Kama anajua Sheria asingetumia askari hao.

Natamani Nikiamka asubuhi, najua Huko ni karibu na Mchana Nikute Huyu Endrew Chenge, Ameondolwwa haraka sana. Vinginevyo kama Mwendo Ni Huu Nchi itachafuka, Can U Imagine, Mbunge wa Chadema let say Halima Mdee au Kubenea awe na High blood presure yake tu na kwa kusukumwa au Kupigwa na Askari Afie Kwenye Ukumbi Pale. Nchi si Itawaka.

Anachokifanya Nape Ni Kuwanyima wananchi fursa, ya Kujua wabunge wao wanajadili nini Bungeni, Tetesi zilizopo ni kwamba kurushwa kwa Vikao vya Bunge Moja kwa Moja imedaiwa ndicho kigezo kikubwa sana cha kukua kwa Upinzani. Kitu ambacho CCM katika Vikao vyao vya siri walipanga kuweka udhibiti mkali. Nape Ni waziri wa habari Kwa Kazi hiyo Maalu, "Kufinya" NDIO MKAKATI MPYA HUO. CCM Wabishe

Mimi kwa Niaba ya Watanzania wapenda Amani, Naomba Spika wa Bunge Joab Ndugai Amweke Pembeni Chenge as soo as Yesterday.
wee vipi akili yako sawa kweli? ndugai amuweke pembeni chenge kwa vipi wakati kachaguliwa na bunge kua mwenyekiti. jazba za ukawa ndio taabu bungeni kwa sasa. hebu fikiri..mtu mliyemuimba kwa miaka minane kama fisadi huku yeye anapanga mkakati wa kuingia ikulu ndio mshauri wenu na mmiliki wa cdm kwa sasa baada kushindwa kura. kwa kila hali akili yenu kuna screw imelegea.
 
Mkuu umefanya cku yangu kuwa nzuri aisee kwambaa nchi ikiwaka kuna fire extinguishers za kutosha mwezi January umeisha vizuri aiseee
 
Back
Top Bottom