Mzee Saliboko
JF-Expert Member
- Jan 29, 2018
- 1,326
- 1,041
cheza na apk
nashukuru mkuu, imefanya kaziSkype. Download iyo kitu. Then kama una no za unayempigia it will work
Wadau nimeibiwa simu juz kati, hivo napata shida kuwasiliana na ndugu jamaa na marafiki
Naomba anae jua jinsi ya kupiga simu kwa kutumia computer anielekeze
Tafuta modems za 3G huwa baadhi zina hiyo feature... Niliwahi kupitia hali kama yako mkuu miezi kadhaa 😃 bahati nzuri nlkua na modem ya 3G universal ilikua ina features ya ku dial USSD na Calls 📞 na SMS nilikua napiga na kupokea tena kwa quality nzuri mno na kuchat, hakika iliniokoa sana kipindi hiko unfortunately ilikua siwezi tu kutembea nayo kama simu mbele za watu 😂.Wadau nimeibiwa simu juz kati, hivo napata shida kuwasiliana na ndugu jamaa na marafiki
Naomba anae jua jinsi ya kupiga simu kwa kutumia computer anielekeze