Kupiga nye*o

Kwanza sifahamu wewe kama ni mvulana au msichana. Vijana wa jinsia zote wanapofikia umri wa kubaleghe huwa wanapitia kufanya hivyo. Kwa hali ya kileo, kufanya hivyo ni bora kuliko kujamiiana bila ya kinga sababu ya AIDS. Ushauri wangu wa kitaalam ni jitahidi kuanza mazoezi kama kucheza mpira kunyanyua vyuma, joging, au tafuta jambo ambalo litakutoa kwenye fikra za ngono. Pili ni tafuta mwenza ambaye ataku timilizia mahitaji yako ya kihisia. Tatu ni fanya safari ya kwenda mji mwingine upatapo likizo. Vyote hivi vitaku ondoshea fikra za kihisia na kukuokoa kutoka tabia mbaya hiyo. Ukizoea saaana kufanya hivyo itakuwa hata ukipata mwenza hutapata raha yeyote hadi ujikimu kwa tendo lako baya hilo. Kwa msaada zaidi nenda psychiatric unit iliyo karibu nawe au nione mie nikupatie msaada.
 
Daa! Pole sana mkuu lakini muombe mungu sana coz kwa kufanya hivo ni hatari, me nakuomba uache mara moja.
 
Domo liejaa ujauzito kudadeki
anza kutema maneno malini au unakula
misosi migumu nini?
tongoz au ukishindwa buy poaaaaaaaaaaaa
aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Kaka usiombe kwa Mungu utakesha, nenda muhimbili waone saikolojist watakupa ushauri wa kitaalam. Sasa ukitoka hapo ndo weka na maombi hapo tatizo litaisha lakini kwanza waone wataalam
 
Mambo vp?salama wakubwa mimi nikijana nina tatizo lakupga nyeto kila siku,yni nikiwaza Ngono lazima nitpga 2 nyeto,cpgi kwa sabuni apana napiga kwa maji,kila nkjribu kuacha nashindwa nifanyaje?ebu nipeni njia ya kuacha kpga nyeto,tangu nizaliwe cjawai kfnya mpnzi I ned help ma frnd nataka niache nashindwa

MTEMBELEE Dk.Silas James wa Praise Saniturian Clinic - SINZA MAKABURINI. Atakupatia dawa ya tiba ya kisaikolojia na ya (physiologia) au nenda Foreplan Clinic - ILALA Bungoni zinakopark TAXI kwa Dk. Mwaka
 
Tatizo lako ni la kisaikolojia zaidi unafikiri kufanya hivyo ndio unakidhi haja zako,nakushauri acha mchezo huo utashindwa kupafomu hata ukiwa na mkeo.
 
next time ukipata hamu piga kwa kutumia pilipili, utaacha mwenyewe!

Seriously, hilo tatizo umelijenga akilini mwaka. Mradi umetambua ukipata hamu fanya mazoezi,

Upupu utamsaidia zaidi, kweli tena ye autafute ajaribu, the aje atupe ushuhuda!
 
Back
Top Bottom