Dazipozi,
ujifunze kusalimia wenyeji wa nyumba.........yaani unaingia hata salaam hakuna, unaanza tu kueleza shida zako!!
Karibu sana mkuu.
jiandae kuwa kuni za jehanamu ndugu
jiandae kuwa kuni za jehanamu ndugu
unajua jina lako limefanana na tusi n*y#o&k.... m2 kaomba ushauri thn we unampa vitisho
majina huathiri sana ni vile sisi tunayachukulia poa tu, kwenye kabila letu, Ndyoko maana yake ni Makalio..
Hizi avatars za dada zetu hapa JF zingekuwa zinaweza kuongea zingepiga mayowe..lolMambo vp?salama wakubwa mimi nikijana nina tatizo lakupga nyeto kila siku,yni nikiwaza Ngono lazima nitpga 2 nyeto,cpgi kwa sabuni apana napiga kwa maji,kila nkjribu kuacha nashindwa nifanyaje?ebu nipeni njia ya kuacha kpga nyeto,tangu nizaliwe cjawai kfnya mpnzi I ned help ma frnd nataka niache nashindwa
Tatizo la nyeto linamadhara yake kisakologia.Mademu watamkimbia kutokana na akichomeka baada ya dakika mbili atakuwa amesharusha makombora.Inabidi haache nyeto kwanza na akae kwa muda bila kufanya tendo la ndoa.Karibu JF ndugu.
ushauri pekee, Acha kuwa domo zege, tafuta mpenzi ili uweze maliza shida zako huko. Loh!
Nilikuwa na tatizo hilo, tangu nioe sijarudia tena
ndo maana hujaonja ladha ya ile kitu anh.Mambo vp?salama wakubwa mimi nikijana nina tatizo lakupga nyeto kila siku,yni nikiwaza Ngono lazima nitpga 2 nyeto,cpgi kwa sabuni apana napiga kwa maji,kila nkjribu kuacha nashindwa nifanyaje?ebu nipeni njia ya kuacha kpga nyeto,tangu nizaliwe cjawai kfnya mpnzi I ned help ma frnd nataka niache nashindwa
We endelea tu.
Hakuna madhara ila utpata faida,na hakuna laana utakayo pata.
Faida wallet haita pungua,
Maradhi ya ngono utayasikia kwenye radio,
Hutapata usumbufu kama kuumwa kichwa au simu za malalamiko ya ajabu,
Na utakuw na muda mwingi wa kusaidia ndugu zako.
ndo maana hujaonja ladha ya ile kitu anh.
Hahahahaa lol! Shida nyingine muhimu banaaa! ....Mtu husahau hata kupiga hodi hata kabla hajasalimia kishaanza kueleza matatizo yake.
Hasara mojawapo ni kusahau kutongoza (teh teh)Hizo ni faida chache za punyeto tupe na hasara zake.