ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,253
- 8,343
griiiiii griiiiii mmmmmh... Uwioooo...Kinaandikika basi!'? yaani ilimradi ni kelele tu
Huyo inabidi aende Tanga au kule kwa wamakonde.hahahaaaaaaaaaa loh hujawahi kupata anaekushika mpaka ukapiga kelele, kweli unamic vitu vingi.
Tigo inaufundi wake kuila we utakuta mkumene upo ndani unaukatikia tu
Sinunui wala nini natafuna tu dezodezo...Si mpaka mpewe vinyama vya ng'ombe tulivyoweka sirini.
Utoaji hela ulikuwa zamani.
Nyie wa .COM wabahili kama nini.
Mnapenda sana Mbunye za dezo dezo,na ndo mana tunawauzia.
Ndio ni mtandao haramu lakini inaonekana siku hizi una wateja kibao.Yaani tigo Tigo Tigo!!! Mtandao haramu huyo!!! Mwanaume akiwataka TIGO hata akupe hela kiasi gani usikubali mwanamke!! Tena atakuwa amekudharau sana!!!!! Madhara ya TIGO utayaona umri ukisogea!!!! Utaaibisha jamii yako! Kuwa makini na wanaume wanaokutaka TIGO!!! Mwambie akusogezee yeye hiyo TIGO yake uingize huko GUNZI la mhindi uone kama atakubali!!! Shame!
hii nakubaliana nayo kuu, inawezekana.Ukiona mwananmke anapiga kelele sana ujue hajiamini na pengine ndio wanao cheat mara kwa mara maana anafanya hivyo kujihami aonekane unamfikisha au unapiga pale panapohitajika kumbe ni uongo mtupu. miguno ya kawaida ni sawa ila kelele za mpaka kuamsha majirani ni utovu wa nidhamu na si ustaarabu
;hujawh kuckia wakt umeambiwa!wataka kuckia mara ngap?Mkuu, hii ya wanaume kupiga kelele sijawahi kuisikia kabisa.
hii nakubaliana nayo kuu, inawezekana.
Hakuna raha yoyote kama unaendesha gari ikiwa imezimwa (silence), inatia raha kusikia injini ikitoa majibu kwa kila gia unayobadili na kukanyaga mafuta!