Sure hapo umenena mkuu sema sasa kumuumizaga mtu inakuaga ni shida zaidiii na inakuaga kama gundu ndo maana mtu ka simmind nampa makavu live. Waseme tu naringaa.
Hivi ni kwanini mara nyingi mtu unapotokea kumpenda mtu ndio unakuta hana muda na wewe hataa ama ndo anakujibu dry kisooo ila sasa inapotokea mtu hata humuwazi wala huna muda nae ndio anakugaanda na kukupenda mwisho wa siku unaishia kumuumiza na kuonenekana PLAYA ama KICHECHE.
Na mara nyingi wale wa kiume wakionaga manzi anajisogeza inakuaga ngumu sana kukataa.....
Kwanini iko hivo mara nyingi? yaani kupenda usipopendwa na kupendwa usipopenda?
Hivi ni kwanini mara nyingi mtu unapotokea kumpenda mtu ndio unakuta hana muda na wewe hataa ama ndo anakujibu dry kisooo ila sasa inapotokea mtu hata humuwazi wala huna muda nae ndio anakugaanda na kukupenda mwisho wa siku unaishia kumuumiza na kuonenekana PLAYA ama KICHECHE.
Na mara nyingi wale wa kiume wakionaga manzi anajisogeza inakuaga ngumu sana kukataa.....
Kwanini iko hivo mara nyingi? yaani kupenda usipopendwa na kupendwa usipopenda?
Aisee hii kitu isikukute maumivu yake ni kama ya aliyeachwa,,Mtu ndo kwanza hana time na ww,,ila sikulalamikii we kijana ni moyo wako tu usionipenda ni shidaaaaaaa,,Ohh Yesu nipe tutakaependana