Kupendwa raha jamani


Huyo ni mwandani wa kufikirika...hayupo katika dunia hii ya leo! Hata ukiwa na hela ka mzee Reggie!
 
Yani kwa sie wa siku nyingi kidogo humu tushawazoea ...
Humu wanga wengi sana...
All they want to hear ni watu wanalia lia na ndoa zao...
Ndio wao roho zao zinatulia...
Kama si wanga ni nini?????

Ukisema kupendwa raha wanakujibu subiri miaka 5...
te te te...watasubiri miaka mia nane (800)

 
Dr umefanya research au unaongelea experience yako ...?
Kwa nini mnaona mapenzi kwenye ndoa kama ni kitu kisowezekana?

Huyo ni mwandani wa kufikirika...hayupo katika dunia hii ya leo! Hata ukiwa na hela ka mzee Reggie!
 
huku unapigiwa simu ukiwa job muuza nanihii ameshika kiuno cha mkeo
 

sawa kabisa mdau kama unapata hayo unayoyasema hongera sana huo ndio wajibu was mwanandani wako katika maswala ya ndoa. lakini inafanyika kwa muda gani? Ni ule mwanzo tu wa ndoa so katikati au mwisho sababu wanawake so viumbe walio kamili Ni mashetani kama nyoka aliewadanganya.
 
Bora useme tu, ingawaje wengi wetu humu hawapendi mtu aposti raha anazopata ndoani mwake.

Humu watu wanataka kuskia " jamani mwenzunu ndoa imenishinda" .Humu duniani kuna watu wanafuraia ndoa zao mpaka ukiona mwenyewe unapenda.
 

plus mama ako, dada ako,shangazi yako na wengineo woote wanaokuhusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…