Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,012
- 71,167
Mida fulan nimetoka kupata huduma Duka jirani hapa.
Sasa wakat natembea Mbele yangu alikuapo Mdada mmoja na wamama wawili wanatembea wakipiga stori
Haka kadada kiumri ana miaka 20-25 ,inaonekana walikua wanatoka kwenye mishe zao ..
Sasa wakakutana na Binti wa miaka kama 13 ivi..
Kadada kamuuliza, Mwanangu mmemlisha chakula??
Kale katoto kakamwambia, Badoo ...
Haka kadada kakawambia wale wamama,
"Daahhh Jamaani huyo mtoto ni kila kitu kwangu, nampenda kuliko kitu chochote ,naposikia habari kama hizi, nahisi nataka kufaa, ebu tuongeze mwendo "
Mmoja wa wale wamama akamjibu..." Mpende mwanangu ,wee mpende mwanao, ndo maisha yako, mpende sana ""...
kilichofanya nikatabasam ni yale maneno ya kale kadasa kuhusu mwanawee
Hivi kumbe MAMA ZETU WANATUPENDA NAMNA HII???..
Alafu unakuta mtu anamdharau mama yake, anamtukana hata kumpiga?? Kweli ?? Kwamba baada ya kufanikiwa maisha, tunawasahau hadi Mama zetu!!??
Sisi ambao Mama zetu bado wapo hai, Tuwapende sana mama zetu.
Sasa wakat natembea Mbele yangu alikuapo Mdada mmoja na wamama wawili wanatembea wakipiga stori
Haka kadada kiumri ana miaka 20-25 ,inaonekana walikua wanatoka kwenye mishe zao ..
Sasa wakakutana na Binti wa miaka kama 13 ivi..
Kadada kamuuliza, Mwanangu mmemlisha chakula??
Kale katoto kakamwambia, Badoo ...
Haka kadada kakawambia wale wamama,
"Daahhh Jamaani huyo mtoto ni kila kitu kwangu, nampenda kuliko kitu chochote ,naposikia habari kama hizi, nahisi nataka kufaa, ebu tuongeze mwendo "
Mmoja wa wale wamama akamjibu..." Mpende mwanangu ,wee mpende mwanao, ndo maisha yako, mpende sana ""...
kilichofanya nikatabasam ni yale maneno ya kale kadasa kuhusu mwanawee
Hivi kumbe MAMA ZETU WANATUPENDA NAMNA HII???..
Alafu unakuta mtu anamdharau mama yake, anamtukana hata kumpiga?? Kweli ?? Kwamba baada ya kufanikiwa maisha, tunawasahau hadi Mama zetu!!??
Sisi ambao Mama zetu bado wapo hai, Tuwapende sana mama zetu.