Kupenda bwana

Mimi nikisikia mimba, taswira ya kwanza ninayoipata ni kuwa kondomu haikutumika
 
Nina demu wangu na tayar ana ujauzito wangu na anadai nimuoe,na bado cjaanza kazi,naona ngumu kwa sasa but nina mpango wa kumuoa.na yeye analazimisha nimuoe siku hizi za karibun.je nifanyeje wana jf?

Ndo muamini hela ina nafasi yake kwenye mapenzi!!!!
unadhani pesa ingekuwepo ungehitaji ushauri?
 
kha!! hizi story za kushika mimba zimekuwa nyingi sana...sasa mwana huyo hamna kumuoa maana amekutegeshea ili umuoe sasa wewe usimuoe...ila kubali kuwa mtoto ni wako.

Toa ushauri wa ki utu uzima wewe! hivi alipo kuwa anakula raha alitegemea nini? kaka muoe tuu acha kupokea ushauli mmbovu kama ni kazi utaipata mbele ya safari ok! siku njema.............:shut-mouth:
 
Gud kaka nimeupenda sana ushauri wako huyu jamaaa anakuwa kama hazimtoshi vile!:fencing:
 
Nina demu wangu na tayar ana ujauzito wangu na anadai nimuoe,na bado cjaanza kazi,naona ngumu kwa sasa but nina mpango wa kumuoa.na yeye analazimisha nimuoe siku hizi za karibun.je nifanyeje wana jf?

nionavyo si jambo zuri kumuoa sasa kwani utakua umemuoa kisa mimba cha msingi ni wewe kukubali kwamba utatekeleza majukumu yako ya ubaba hapo atakapojifungua halafu maswala ya ndoa yafuate baadae ukiwa umeshajipanga maana kuwa mwanaume haitoshi kuwa baba unatakiwa kujiandaa maana kama huna shuguli ya kufanya hata huyo mke utamhudumiaje jipange
 
Nina demu wangu na tayar ana ujauzito wangu na anadai nimuoe,na bado cjaanza kazi,naona ngumu kwa sasa but nina mpango wa kumuoa.na yeye analazimisha nimuoe siku hizi za karibun.je nifanyeje wana jf?

nionavyo si jambo zuri kumuoa sasa kwani utakua umemuoa kisa mimba na kule kulazimishwa naye,hata hivyo kwanini akulazimishe cha msingi ni wewe kukubali kwamba utatekeleza majukumu yako ya ubaba hapo atakapojifungua halafu maswala ya ndoa yafuate baadae ukiwa umeshajipanga maana kuwa mwanaume haitoshi kuwa baba unatakiwa kujiandaa maana kama huna shuguli ya kufanya hata huyo mke utamhudumiaje jipange
 

tatizo hamuaminik unaweza subr mwisho wa cku anaolewa mwingne. Oanen hvy2 mwanamke auze v2mbua na mume kabebe zege maisha yatasonga
 
Timiza majukum ya kumtunza mama na mtoto en kumbuka ndoa ni mipango ya Mungu xo ucxahau kumshrksha
 
MIMBA ZA SIKU HIZI AU KWA SABABU CONDOM WENGI ZINAWAPWAYA?:A S-baby:
 
Toa ushauri wa ki utu uzima wewe! hivi alipo kuwa anakula raha alitegemea nini? kaka muoe tuu acha kupokea ushauli mmbovu kama ni kazi utaipata mbele ya safari ok! siku njema.............:shut-mouth:

wewe kweli unadhani kuna ndoa itadumu built on deceit? huyo mwanamke kama anaweza kukufanyia hivyo wadhani kuna vingapi atakufanyia....ukweli nikwamba mwanamke anaombwa kugegegdwa kavu kavu....hiyo ni request hivyo anaweza kukubali au kukataa....akishakubali basi amekubali kubeba majukumu ya kuzuia mimba...hapo tena mwanaume hayupo.
 
ndio hayo aliyoyasema lara.mambo ya kujitegesha,ili iwe ticket ya kuolewa.huyo unae huyo.condom uliiona haifai,hayo maisha mtayapoanga mkiwa ndani ya ndoa.mtoto ni jambo la heri,maana uzazi umekuwa shida kwa wengi.trust me,utakapokaona ka baby kako,moyo wote utakunjuka kwa furaha
 
ndio maana mie nilishaliona hilo kuwa my thinking na thinking ya wanawake haziendani wen it comes to that matter nimejiamulia nitulie pembeni na malaya wangu.....hapo hamna sijui nina mimba altho utamu orijino sitaupata

hihi hihi hiiiii mzabzab wanchekesha
 
Last edited by a moderator:
Hongera mkuu, naona ulitaka cha starehe kikatoka cha mtoto, Its very unfortunately ni wakati ulikuwa bado hujajipanga.

Naona una dhamira nzuri sana juu ya mtoto na girfriend wako. kaka maisha bila ya kazi kwa TZ yetu hii sio ya kujiamini sana. kuishi na binti huku pia ukitarajia mtoto sio lelemama, kuna kula, kuvaa, kuugua kulea n.k. hali kwa wengi ni ngumu even wengine kujikimu wao wenyewe wakiwa ndani ya ajira bado ni tatizo.

Mi ningekushauri utafute wazee wenye hekima wakaongee na familia ya binti kuwa kweli mtarajiwa ni wako ila kwa sasa unaomba wazazi waendelee kukaa na binti yao huku wewe ukijipanga kwa ajili ya kumchukua na kuendelea kukaa naye. pia chochote utakachopata wakati ukijipanga unasaidiana na mkeo kuprovide.

Otherwise si busara kuja kumshindisha na njaa mtoto wa watu, ujue kadiri wife atakavyoathirika, ndivyo na mtoto aliye tumboni itakavyokua kwake.
 
si wote walio ooana wana kazi wengine walianza bila hata kazi. maisha ni ni nyie kujipanga mengine yatafuata mbele ya safari
 
Kwanza hongera maana huwezijua nn umepangiwa na M/Mungu la kukushaur ni kwamba ww anza saiv kufanya michakato ya kutafuta pesa ya mboga at the same tym una mueleza nn kwa wakati huu unafanya 7bu haina maana ya kukaa na kusubir wakati haurudi nyuma hatua ya leo na kesho itazaa matunda JIPE MOYO ANZA SASA ndugu yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…