increase
Senior Member
- May 3, 2023
- 105
- 185
Nauliza swali tu mkuuBaki na unachoona ni sahihi.
Punguza makasariko
Nauliza swali tu mkuuBaki na unachoona ni sahihi.
Samahani kwa hilo bro. Ngoja niifute hiyo commentBRO ACHA KUTUDHALILISHA WATU TULIOLELEWA NA SINGLE MOTHER, KWANZA WENGI WETU TUNAJITAMBUA KULIKO UNAVYOFIKIRIA.
Kulikuwa na haja gn hpa ya kumtaja maremu ten kw sifa mbayaWajinga wa Taifa hili ni
Hajji manara
Steve nyerere
Lemutuz
Na mleta mada hii
Kwahiyo marehemu kama alikuwa anasifa mbaya asisemwe?Kulikuwa na haja gn hpa ya kumtaja maremu ten kw sifa mbaya
Alafu ukimuambia anakutukana. Hivi vitoto sijui vipoje, balehe zinawasumbua.Kulikuwa na haja gn hpa ya kumtaja maremu ten kw sifa mbaya