Kupatwa kwa umri

Kupatwa kwa umri

Msukuma wa dar

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2016
Posts
1,160
Reaction score
1,201
Kwenu wanawake wa MMU, habarii..

Nauliza, hivi zile sifa za mrefu, mweusi flani, nk hamtaki tena. Naona siku hizi kigezo kikuu ni 35+

Kibaya zaidi eti awe single, asiwe na mtoto zaidi ya1, najiuliza, wanaume wa umri huo kwa kigezo hicho hivi bado wapo kweli. Niamini, mwanaume wa umri huo na kweli akawa na vigezo hivyo basi amini anamatatizo yake (Nay wa Mitego)

Mwanaume na mvulana hawatofautishwi kwa umri, kuna vijana wadogo (wavulana) wenye tabia za KIUANAUME na pia kuna wanaume watu wazima lakini wakawa na tabia za kivulana.

Muache kupeperushia wenzenu ndege kwa kigezo cha umri.

NB;
Uzi huu haunihusu kwa namna yeyote.
 
mbona hata wasanii kina wolper waangalii age tena sijui awe above 35 wanataka dogo dogo mwenye hela
 
Mheshimiwa umeeleza vizuri ila tu Kuna angalizo kidogo hapa Chini

Kundi la vijana kuanzia 20 - 25 wengi bado wako kwenye adolescence, adolescence inaanzia 18 - 25, adolescence ni kile kipindi cha balehe ambacho mtu anataka kujaribu kila kilicho mbele yake, atataka kubadilisha aina zote za wanawake n.k

From 26 - 29 kijana anakua ametoka chuo na kukutana na Street life na anaanza kuwajibika na maisha yake moja kwa moja, hata hivyo masuala ya starehe za kukesha usiku, kwenda kwenye matamasha i. e Fiesta, clubs bado anakua nayo, maana at this stage ana kazi, na pengine zile vurugu za nyuma zika double kwa kuwa ana ajira na pengine kapanga yuko kwake na total freedom

Kuanzia 30 - 35 ukomavu unaanza katika maisha ya huyu mtu, si ajabu na ka cheo kamepanda kazini, mara nyingi ni vile vyeo baada ya hatua ya ukarani sasa amekua supervisor na kadhalika hivyo anaanza kutambua maana ya uwajibikaji kwa vitendo, Hapa anaanza kuchangia harusi mbali mbali za wenzie kazini, hivyo na yy kupata uchungu lini atachangiwa

Sasa hapo kuanzia 35+ tayari amefanya maamuzi, anajitambua, amesumbua sana mabinti kwa kuwa play sana na sasa ameamua kutulia na kuoa, na kuanzia hapo ule upuuzi wote wa nyuma ameacha, wasichana ni mashahidi wa hili, wanaume kuanzia age si wasumbufu sana kwenye mapenzi, na ukienda kwenye daftari la ndoa zilizofungishwa utaona age ndio wengi sana

Hivyo mabinti wanayajua haya makundi vizuri kuliko sisi wanaume, wanajua lile kundi la 18-25 ndilo sumbufu kuliko yote, likifuatiwa na lile la 26-29
Hivyo wanaelewa kundi lipi walau watakua kwenye safe side

Hii analysis sio suala la vijiweni, yoyote aliesoma somo la psychology anaelewa na naongea kitu gani, kwenye psychology wameyachambua haya makundi kulingana na umri na kiuhalisia pia iko hivyo
Hii haina maana ni wote, msomi yoyote aliesoma probability anaelewa kitu kinachoitwa sample katika utafiti, unaweka utafiti wako ktk asilimia na hivyo una conclude

Hivyo akina dada wanaoweka sharti hilo la kuitaji Mchumba wa 35+ wana uzoefu na makundi haya
 
Kwenu wanawake wa MMU,habarii..
Nauliza,hivi zile sifa za mrefu,mweusi flani,nk hamtaki tena.Naona siku izi kigezo kikuu Ni 35+

Kibaya zaidi eti awe single.,asiwe na mtoto zaidi ya1
Najiuliza,wanaume wa umri huo kwa kigezo icho ivi bado wapo kweli.
Niamini,mwanaume wa umri huo na kweli akawa na vigezo hivyo basi amini anamatatizo yake(Nay wa Mitego)

Mwanaume na Mvulana hawatofautishwi kwa umri,Kuna vijana wadogo(Wavulana) wenye tabia za KiUANAUME na pia Kuna wanaUme watu wazima lakini wakawa na tabia za kivulana

Muache kupeperushia wenzenu ndege kwa kigezo cha umri.

NB
Uzi huu haunihusu kwa namna yeyote.
Kwa mabinti au wadada embu waangalie kwa namna hii....
1. Wanapokuwa wana 20 to 22 years, huwa wanakuwa na masherti makubwa makubwa kuhusu watakaowaowa...
2. Kila msichana au mdada ana hofu kwa namna moja au nyingine kufika 30 years bila kuolewa au kuwa na uhakika na atakayemuwa
3. Bahati mbaya yale masherti yanakuwa yapo inversely proportional na age.. yanapungua kadiri umri unavyoongezeka
4. Wakigonga 30years halafu iwe bila bila, wanaanza hamu ya kuwa na mtoto wa kuzaa wenyewe. Hapo inaweza isijalishe kama ni mume wa mtu au la.
5. Hapo kwenye hamu ya kuzaa, masherti yahamia kwenye u-handsome wa huyo wa kuzaa naye
6. Wakati huo, wanajuwa ''menopozi'' inaweza ikaanza any time T kuanzia late 30's.
7. Wakifika 33years halafu wa kuzaa naye asipatikane, wanahamia kwenye YEYOTE ATAKAYEKUJA...

NA HAPO NDO MAKOROKOCHO YA 35 YEARS AND ABOVE YANAPOSHIKA HATAMU
 
Mheshimiwa umeeleza vizuri ila tu Kuna angalizo kidogo hapa Chini

Kundi la vijana kuanzia 20 - 25 wengi bado wako kwenye adolescence, adolescence inaanzia 18 - 25, adolescence ni kile kipindi cha balehe ambacho mtu anataka kujaribu kila kilicho mbele yake, atataka kubadilisha aina zote za wanawake n.k

From 26 - 29 kijana anakua ametoka chuo na kukutana na Street life na anaanza kuwajibika na maisha yake moja kwa moja, hata hivyo masuala ya starehe za kukesha usiku, kwenda kwenye matamasha i. e Fiesta, clubs bado anakua nayo, maana at this stage ana kazi, na pengine zile vurugu za nyuma zika double kwa kuwa ana ajira na pengine kapanga yuko kwake na total freedom

Kuanzia 30 - 35 ukomavu unaanza katika maisha ya huyu mtu, si ajabu na ka cheo kamepanda kazini, mara nyingi ni vile vyeo baada ya hatua ya ukarani sasa amekua supervisor na kadhalika hivyo anaanza kutambua maana ya uwajibikaji kwa vitendo, Hapa anaanza kuchangia harusi mbali mbali za wenzie kazini, hivyo na yy kupata uchungu lini atachangiwa

Sasa hapo kuanzia 35+ tayari amefanya maamuzi, anajitambua, amesumbua sana mabinti kwa kuwa play sana na sasa ameamua kutulia na kuoa, na kuanzia hapo ule upuuzi wote wa nyuma ameacha, wasichana ni mashahidi wa hili, wanaume kuanzia age si wasumbufu sana kwenye mapenzi, na ukienda kwenye daftari la ndoa zilizofungishwa utaona age ndio wengi sana

Hivyo mabinti wanayajua haya makundi vizuri kuliko sisi wanaume, wanajua lile kundi la 18-25 ndilo sumbufu kuliko yote, likifuatiwa na lile la 26-29
Hivyo wanaelewa kundi lipi walau watakua kwenye safe side

Hii analysis sio suala la vijiweni, yoyote aliesoma somo la psychology anaelewa na naongea kitu gani, kwenye psychology wameyachambua haya makundi kulingana na umri na kiuhalisia pia iko hivyo
Hii haina maana ni wote, msomi yoyote aliesoma probability anaelewa kitu kinachoitwa sample katika utafiti, unaweka utafiti wako ktk asilimia na hivyo una conclude

Hivyo akina dada wanaoweka sharti hilo la kuitaji Mchumba wa 35+ wana uzoefu na makundi haya
Mkuu mtu anaanza kubalehe akiwa na miaka 18?....Mungu ibariki Africa.
 
Mheshimiwa umeeleza vizuri ila tu Kuna angalizo kidogo hapa Chini

Kundi la vijana kuanzia 20 - 25 wengi bado wako kwenye adolescence, adolescence inaanzia 18 - 25, adolescence ni kile kipindi cha balehe ambacho mtu anataka kujaribu kila kilicho mbele yake, atataka kubadilisha aina zote za wanawake n.k

From 26 - 29 kijana anakua ametoka chuo na kukutana na Street life na anaanza kuwajibika na maisha yake moja kwa moja, hata hivyo masuala ya starehe za kukesha usiku, kwenda kwenye matamasha i. e Fiesta, clubs bado anakua nayo, maana at this stage ana kazi, na pengine zile vurugu za nyuma zika double kwa kuwa ana ajira na pengine kapanga yuko kwake na total freedom

Kuanzia 30 - 35 ukomavu unaanza katika maisha ya huyu mtu, si ajabu na ka cheo kamepanda kazini, mara nyingi ni vile vyeo baada ya hatua ya ukarani sasa amekua supervisor na kadhalika hivyo anaanza kutambua maana ya uwajibikaji kwa vitendo, Hapa anaanza kuchangia harusi mbali mbali za wenzie kazini, hivyo na yy kupata uchungu lini atachangiwa

Sasa hapo kuanzia 35+ tayari amefanya maamuzi, anajitambua, amesumbua sana mabinti kwa kuwa play sana na sasa ameamua kutulia na kuoa, na kuanzia hapo ule upuuzi wote wa nyuma ameacha, wasichana ni mashahidi wa hili, wanaume kuanzia age si wasumbufu sana kwenye mapenzi, na ukienda kwenye daftari la ndoa zilizofungishwa utaona age ndio wengi sana

Hivyo mabinti wanayajua haya makundi vizuri kuliko sisi wanaume, wanajua lile kundi la 18-25 ndilo sumbufu kuliko yote, likifuatiwa na lile la 26-29
Hivyo wanaelewa kundi lipi walau watakua kwenye safe side

Hii analysis sio suala la vijiweni, yoyote aliesoma somo la psychology anaelewa na naongea kitu gani, kwenye psychology wameyachambua haya makundi kulingana na umri na kiuhalisia pia iko hivyo
Hii haina maana ni wote, msomi yoyote aliesoma probability anaelewa kitu kinachoitwa sample katika utafiti, unaweka utafiti wako ktk asilimia na hivyo una conclude

Hivyo akina dada wanaoweka sharti hilo la kuitaji Mchumba wa 35+ wana uzoefu na makundi haya
bora uwaambie
kweli mtu atafute mkaka miaka 20-32 si unajitafutia stress tu ?
 
Kwa mabinti au wadada embu waangalie kwa namna hii....
1. Wanapokuwa wana 20 to 22 years, huwa wanakuwa na masherti makubwa makubwa kuhusu watakaowaowa...
2. Kila msichana au mdada ana hofu kwa namna moja au nyingine kufika 30 years bila kuolewa au kuwa na uhakika na atakayemuwa
3. Bahati mbaya yale masherti yanakuwa yapo inversely proportional na age.. yanapungua kadiri umri unavyoongezeka
4. Wakigonga 30years halafu iwe bila bila, wanaanza hamu ya kuwa na mtoto wa kuzaa wenyewe. Hapo inaweza isijalishe kama ni mume wa mtu au la.
5. Hapo kwenye hamu ya kuzaa, masherti yahamia kwenye u-handsome wa huyo wa kuzaa naye
6. Wakati huo, wanajuwa ''menopozi'' inaweza ikaanza any time T kuanzia late 30's.
7. Wakifika 33years halafu wa kuzaa naye asipatikane, wanahamia kwenye YEYOTE ATAKAYEKUJA...

NA HAPO NDO MAKOROKOCHO YA 35 YEARS AND ABOVE YANAPOSHIKA HATAMU
Hahaha asante kwa nyongeza mkuu
 
Mheshimiwa umeeleza vizuri ila tu Kuna angalizo kidogo hapa Chini

Kundi la vijana kuanzia 20 - 25 wengi bado wako kwenye adolescence, adolescence inaanzia 18 - 25, adolescence ni kile kipindi cha balehe ambacho mtu anataka kujaribu kila kilicho mbele yake, atataka kubadilisha aina zote za wanawake n.k

From 26 - 29 kijana anakua ametoka chuo na kukutana na Street life na anaanza kuwajibika na maisha yake moja kwa moja, hata hivyo masuala ya starehe za kukesha usiku, kwenda kwenye matamasha i. e Fiesta, clubs bado anakua nayo, maana at this stage ana kazi, na pengine zile vurugu za nyuma zika double kwa kuwa ana ajira na pengine kapanga yuko kwake na total freedom

Kuanzia 30 - 35 ukomavu unaanza katika maisha ya huyu mtu, si ajabu na ka cheo kamepanda kazini, mara nyingi ni vile vyeo baada ya hatua ya ukarani sasa amekua supervisor na kadhalika hivyo anaanza kutambua maana ya uwajibikaji kwa vitendo, Hapa anaanza kuchangia harusi mbali mbali za wenzie kazini, hivyo na yy kupata uchungu lini atachangiwa

Sasa hapo kuanzia 35+ tayari amefanya maamuzi, anajitambua, amesumbua sana mabinti kwa kuwa play sana na sasa ameamua kutulia na kuoa, na kuanzia hapo ule upuuzi wote wa nyuma ameacha, wasichana ni mashahidi wa hili, wanaume kuanzia age si wasumbufu sana kwenye mapenzi, na ukienda kwenye daftari la ndoa zilizofungishwa utaona age ndio wengi sana

Hivyo mabinti wanayajua haya makundi vizuri kuliko sisi wanaume, wanajua lile kundi la 18-25 ndilo sumbufu kuliko yote, likifuatiwa na lile la 26-29
Hivyo wanaelewa kundi lipi walau watakua kwenye safe side

Hii analysis sio suala la vijiweni, yoyote aliesoma somo la psychology anaelewa na naongea kitu gani, kwenye psychology wameyachambua haya makundi kulingana na umri na kiuhalisia pia iko hivyo
Hii haina maana ni wote, msomi yoyote aliesoma probability anaelewa kitu kinachoitwa sample katika utafiti, unaweka utafiti wako ktk asilimia na hivyo una conclude

Hivyo akina dada wanaoweka sharti hilo la kuitaji Mchumba wa 35+ wana uzoefu na makundi haya
Sipingani na mawazo yako mkuu.Lakini nilichomaanisha Ni kuwa,kwenye hilo kundi la 25+ wapo pia vijana wanaofocus kwenye maisha na maendeleo.
Ukiangalia pia umri WA kuoa na kuolewa kwa imani za kidini Ni kuanzia 25 na kuendelea.

Kwa mantiki iyo,sioni sababu ya kuendelea kuwapuuza vijana WA Rika hilo kwa kigezo cha umapepe.

Mi nafikiri wanawake wawe straight Tu kusema wanahitaji mwanaume anayejielewa au mwenye pesa fully stop
 
Kwenu wanawake wa MMU,habarii..
Nauliza,hivi zile sifa za mrefu,mweusi flani,nk hamtaki tena.Naona siku izi kigezo kikuu Ni 35+

Kibaya zaidi eti awe single.,asiwe na mtoto zaidi ya1
Najiuliza,wanaume wa umri huo kwa kigezo icho ivi bado wapo kweli.
Niamini,mwanaume wa umri huo na kweli akawa na vigezo hivyo basi amini anamatatizo yake(Nay wa Mitego)

Mwanaume na Mvulana hawatofautishwi kwa umri,Kuna vijana wadogo(Wavulana) wenye tabia za KiUANAUME na pia Kuna wanaUme watu wazima lakini wakawa na tabia za kivulana

Muache kupeperushia wenzenu ndege kwa kigezo cha umri.

NB
Uzi huu haunihusu kwa namna yeyote.
Unakuhusu
 
Mheshimiwa umeeleza vizuri ila tu Kuna angalizo kidogo hapa Chini

Kundi la vijana kuanzia 20 - 25 wengi bado wako kwenye adolescence, adolescence inaanzia 18 - 25, adolescence ni kile kipindi cha balehe ambacho mtu anataka kujaribu kila kilicho mbele yake, atataka kubadilisha aina zote za wanawake n.k

From 26 - 29 kijana anakua ametoka chuo na kukutana na Street life na anaanza kuwajibika na maisha yake moja kwa moja, hata hivyo masuala ya starehe za kukesha usiku, kwenda kwenye matamasha i. e Fiesta, clubs bado anakua nayo, maana at this stage ana kazi, na pengine zile vurugu za nyuma zika double kwa kuwa ana ajira na pengine kapanga yuko kwake na total freedom

Kuanzia 30 - 35 ukomavu unaanza katika maisha ya huyu mtu, si ajabu na ka cheo kamepanda kazini, mara nyingi ni vile vyeo baada ya hatua ya ukarani sasa amekua supervisor na kadhalika hivyo anaanza kutambua maana ya uwajibikaji kwa vitendo, Hapa anaanza kuchangia harusi mbali mbali za wenzie kazini, hivyo na yy kupata uchungu lini atachangiwa

Sasa hapo kuanzia 35+ tayari amefanya maamuzi, anajitambua, amesumbua sana mabinti kwa kuwa play sana na sasa ameamua kutulia na kuoa, na kuanzia hapo ule upuuzi wote wa nyuma ameacha, wasichana ni mashahidi wa hili, wanaume kuanzia age si wasumbufu sana kwenye mapenzi, na ukienda kwenye daftari la ndoa zilizofungishwa utaona age ndio wengi sana

Hivyo mabinti wanayajua haya makundi vizuri kuliko sisi wanaume, wanajua lile kundi la 18-25 ndilo sumbufu kuliko yote, likifuatiwa na lile la 26-29
Hivyo wanaelewa kundi lipi walau watakua kwenye safe side

Hii analysis sio suala la vijiweni, yoyote aliesoma somo la psychology anaelewa na naongea kitu gani, kwenye psychology wameyachambua haya makundi kulingana na umri na kiuhalisia pia iko hivyo
Hii haina maana ni wote, msomi yoyote aliesoma probability anaelewa kitu kinachoitwa sample katika utafiti, unaweka utafiti wako ktk asilimia na hivyo una conclude

Hivyo akina dada wanaoweka sharti hilo la kuitaji Mchumba wa 35+ wana uzoefu na makundi haya
Well analysed and Well said! Bravo Mansoor Islam!
 
Mheshimiwa umeeleza vizuri ila tu Kuna angalizo kidogo hapa Chini

Kundi la vijana kuanzia 20 - 25 wengi bado wako kwenye adolescence, adolescence inaanzia 18 - 25, adolescence ni kile kipindi cha balehe ambacho mtu anataka kujaribu kila kilicho mbele yake, atataka kubadilisha aina zote za wanawake n.k

From 26 - 29 kijana anakua ametoka chuo na kukutana na Street life na anaanza kuwajibika na maisha yake moja kwa moja, hata hivyo masuala ya starehe za kukesha usiku, kwenda kwenye matamasha i. e Fiesta, clubs bado anakua nayo, maana at this stage ana kazi, na pengine zile vurugu za nyuma zika double kwa kuwa ana ajira na pengine kapanga yuko kwake na total freedom

Kuanzia 30 - 35 ukomavu unaanza katika maisha ya huyu mtu, si ajabu na ka cheo kamepanda kazini, mara nyingi ni vile vyeo baada ya hatua ya ukarani sasa amekua supervisor na kadhalika hivyo anaanza kutambua maana ya uwajibikaji kwa vitendo, Hapa anaanza kuchangia harusi mbali mbali za wenzie kazini, hivyo na yy kupata uchungu lini atachangiwa

Sasa hapo kuanzia 35+ tayari amefanya maamuzi, anajitambua, amesumbua sana mabinti kwa kuwa play sana na sasa ameamua kutulia na kuoa, na kuanzia hapo ule upuuzi wote wa nyuma ameacha, wasichana ni mashahidi wa hili, wanaume kuanzia age si wasumbufu sana kwenye mapenzi, na ukienda kwenye daftari la ndoa zilizofungishwa utaona age ndio wengi sana

Hivyo mabinti wanayajua haya makundi vizuri kuliko sisi wanaume, wanajua lile kundi la 18-25 ndilo sumbufu kuliko yote, likifuatiwa na lile la 26-29
Hivyo wanaelewa kundi lipi walau watakua kwenye safe side

Hii analysis sio suala la vijiweni, yoyote aliesoma somo la psychology anaelewa na naongea kitu gani, kwenye psychology wameyachambua haya makundi kulingana na umri na kiuhalisia pia iko hivyo
Hii haina maana ni wote, msomi yoyote aliesoma probability anaelewa kitu kinachoitwa sample katika utafiti, unaweka utafiti wako ktk asilimia na hivyo una conclude

Hivyo akina dada wanaoweka sharti hilo la kuitaji Mchumba wa 35+ wana uzoefu na makundi haya
Tena umesahau umri mzuri wakuoa kwa vijana angalau uanzie miaka 26-38 mabinti 18-29 hivyo mabinti wanajua sana hizo hesabu wanacheza na 30-38's nawanajua mtu aliye kwenye huu umri awezi kumchezea.
 
Back
Top Bottom