Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,526
- 70,374
Kwahiyo kupatwa kwa mwezi umesema ni nini kinaendelea?Mwezi na jua ni kama roho zetu atuwezi kuishi bila jua wa mwezi duniani,hakuna upepo(hewa)bila jua na mwezi,hakuna mvua wala maji bila jua na mwezi,hakuna uhai bila jua na mwezi,hivyo vyote viwili ni macho(camera) na ni vitoa uhai.
Sent using Jamii Forums mobile app