Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,352
- 3,533
Habarini wajameni;
Nina ndugu yangu alizembea kusoma akaishia la saba.
Sasa ameibuka anataka soma. Nasikia waweza soma na kupata cheti za form 4 ndani ya 2 years. Je hiyo form 4 utakaopata kwa njia hii inatambulika? Na uta-sit for th same exams as a normal form 4 student at the end? Na masomo yanakua yote au?
Naomba mchango wowote na ushaur tafadhali ktk suala hili.
Natangulza shukran zangu mbele!
Nina ndugu yangu alizembea kusoma akaishia la saba.
Sasa ameibuka anataka soma. Nasikia waweza soma na kupata cheti za form 4 ndani ya 2 years. Je hiyo form 4 utakaopata kwa njia hii inatambulika? Na uta-sit for th same exams as a normal form 4 student at the end? Na masomo yanakua yote au?
Naomba mchango wowote na ushaur tafadhali ktk suala hili.
Natangulza shukran zangu mbele!