Kupata mtoto wa pili

Kupata mtoto wa pili

mwendapole12

Member
Joined
Apr 2, 2022
Posts
21
Reaction score
26
Msaada jamani ninamtoto mmoja kwa sasa anamiaka mitatu najitahidi sana kwenye tendo la ndoa natafuta wapili lakini wapi hata tukitegeshea siku za hatari wapi, tatizo lipo wapi hapa anayejua dawa anisaidie.
 
Msaada jamani ninamtoto mmoja kwa sasa anamiaka mitatu najitahidi sana kwenye tendo la ndoa natafuta wapili lakini wapi hata tukitegeshea siku za hatari wapi, tatizo lipo wapi hapa anayejua dawa anisaidie.
sababu zaweza kuwa nyingi kati yako na mwenzio, muhimu wote wawili muende kwa wataalamu wa mambo ya uzazi wawafanyie vipimo wawape na ushauri, mwakani majira kama haya muwe na mapacha.Ila pia msiache kusali, shetani pia yuko kazini kuzuia baraka zetu hvyo maombi ni muhimu. N.B epuka waganga wa kienyeji, kule watakupa "simbula" wa bahati bukuku
 
Nakuomba mama unitafute kama hutojali, nimefanikiwa kuwapa mimba wamama wengi ndani ya ndoa.siwezi kukushindwa
 
Tafuta mizizi wa mkunde pori chemsha vizuri anza kunywa kutwa mara 3 ukishamaliza hedhi tumia ndani ya siku 4 then stop angalia siku za hatari piga show ya nguvu ila akikisha bao linaenda sambamba na chuma mboga.usiwe na haraka kwenda kujisafisha au kuinuka kwenye chuma mboga .mungu akubariki
 
Tafuta mizizi wa mkunde pori chemsha vizuri anza kunywa kutwa mara 3 ukishamaliza hedhi tumia ndani ya siku 4 then stop angalia siku za hatari piga show ya nguvu ila akikisha bao linaenda sambamba na chuma mboga.usiwe na haraka kwenda kujisafisha au kuinuka kwenye chuma mboga .mungu akubariki
Unapatikana wapi huo mmea?
 
Tafuta mizizi wa mkunde pori chemsha vizuri anza kunywa kutwa mara 3 ukishamaliza hedhi tumia ndani ya siku 4 then stop angalia siku za hatari piga show ya nguvu ila akikisha bao linaenda sambamba na chuma mboga.usiwe na haraka kwenda kujisafisha au kuinuka kwenye chuma mboga .mungu akubariki
Baada ya kufanya tendo kwenye siku za hatari muache apumzike usimuungilie tena au asinywe dawa yoyote baada ya week aza fatilia mabadiliko ya mke
 
Baada ya kufanya tendo kwenye siku za hatari muache apumzike usimuungilie tena au asinywe dawa yoyote baada ya week aza fatilia mabadiliko ya mke
My dear,nliipata. Hivi naweza kuhifadhi mizizi kwenye friji? Hadi pale ntakapotaka kuichemsha?
 
Back
Top Bottom