Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,720
- 19,860
kwa sasa itakwua imeniwahi ingawa nataka cos nilitaka nimalize masomo kwanza ila kama imo ntakubaliana nayo make mista anapenda watoto!
Upo form ngapi kwani?Na ni shule gani?
kwa sasa itakwua imeniwahi ingawa nataka cos nilitaka nimalize masomo kwanza ila kama imo ntakubaliana nayo make mista anapenda watoto!
habari za leo wana jamvi!
Naomba kuuliza hivi unaweza kupata ujauzito siku ya (12) tangu kuanza kwa period iliyopita? Mf. umeanza period tarehe 02/11 then uka-do trh 14/11 je unaweza kupata ujauzito?