wajameni yani hata sitaki kujiamini yani na ubachelor wangu wa business in information technology unavyouza kwenye mabenk yani bado niko benchi mpk usawa huu kwani hizi banks zimebadili muelekeo wa kuajiri au? nishakuwa sielewi mie
wajameni yani hata sitaki kujiamini yani na ubachelor wangu wa business in information technology unavyouza kwenye mabenk yani bado niko benchi mpk usawa huu kwani hizi banks zimebadili muelekeo wa kuajiri au? nishakuwa sielewi mie
mapambano yanaendelea mpk mwisho ueleweke mkuu
nyani haoni kundule
kaka kama umeona kuna Tusi hapo Pole, fikira zinatofautiana
nimesali toka August mwaka jana sahv nawaza kufunga lakini niko na ulcers siwez kabisa kukaa na njaa
Kila la kheri kamanda! Hua tunakijiwe chetu cha majobless tunakutanaga na kupeana michakato na mishe mishe paka sasa watu 36 wamepata Job, kama upo Dar tutafutane
Sali sana kijana.. Your time is coming wewe usikate tamaa tu
wajameni yani hata sitaki kujiamini yani na ubachelor wangu wa business in information technology unavyouza kwenye mabenk yani bado niko benchi mpk usawa huu kwani hizi banks zimebadili muelekeo wa kuajiri au? nishakuwa sielewi mie
Wewe hujui kabisa Kiswahili,tena sio kiswahili tu bali pia hujielewi kabisa.
wewe hawezi kukuajili mtu, kwanza hata kuandika Kiswahili vizuri huwezi, ajira zipo ila hauna sifa!
Hujui kwamba kuna methali inasema "nyani haoni kundule" wewe umeona umetukanwa.halafu unajua wewe mshikaji mambo ya kutukanana mimi simaindishi
halafu unajua wewe mshikaji mambo ya kutukanana mimi simaindishi