Kupanua na kutanua

Kupanua na kutanua

kupanua ni kitendo cha kuongeza ukubwa, na kutanuka ni uwezo(ability) ya kupanuka.
 
kupanua ni kumuweka mtu mguu pande huku akiwa chali na kutanua ni ku overtake gari yaani kupita service road...
 
tofauti ya kwanza ni maandishi na pili ni matamshi.
Nalog off
 
kupanua ni kumuweka mtu mguu pande huku akiwa chali na kutanua ni ku overtake gari yaani kupita service road...


Kupanua ni kuongeza wigo wa eneo linalofanyiwa kazi (kazi yoyote) na kutanua ni kuonyesha jeuri ya kutumia fwedha kwa kula na kunywa na kujirusha sana tu
 
Back
Top Bottom