gabriel sanya
Member
- Jan 15, 2014
- 6
- 1
Takribani miaka minne iliyo pita upandishwaji vyeo vya maafisa wakuu ( Brig Gen )umekuwa ukifanyika bila kufuata !!MUUNDO WA JWTZ'' Muundo kwa maana ya ukubwa wa jeshi idadi ya nguvu kazi iliyopo, ikijumuisha askari na silaha.
Tafsiri iliyopo inaonekana vyeo vinatolewa kama zawadi na sio kwa kufuata Merits. Inashangaza kuona jeshi linakuwa na majenerali wengi ambao hawafiti kwenye muundo., athari zake ni serikali kujibebesha Mzigo wa fadhila uchwara. Baadhi au wengi wao wanaishi kwenye nyumbani za kupanga uswahilini ambazo pengine hazina hadhi ya chao chake na huenda pia hazipo katika maeneo yenye usalama. Kwa maana nyingine watahitaji nyumba zilizo kwenye maeneo salama.
Kwa ukubwa na idadi hiyo watahitaji magari aina ya mashangingi yeye nyota za shaba kwa ajili ya utambulisho. Mishahara minono, ofisi, samani za ndani kwa entitlement zao. Sura ya kupandisha vyeo kama zawadi au fadhila inakuja kuonekana pale afisa mkuu huyo anatumika kwa muda wa mwaka mmoja tangu apate cheo anafikia kikomo cha mda wake wa kustaafu utumishi jeshini. Baadhi ya magazeti yameandika wakistaafu watalipwa billion 3 kwa mkupuo.
Kama mfumo ni huo je askari wetu na maafisa wadogo tutawapa fadhila gani wakikaribia kustaafu?
Na hawa ndio watendaji halisi.
Tutafakri !!!!
Tafsiri iliyopo inaonekana vyeo vinatolewa kama zawadi na sio kwa kufuata Merits. Inashangaza kuona jeshi linakuwa na majenerali wengi ambao hawafiti kwenye muundo., athari zake ni serikali kujibebesha Mzigo wa fadhila uchwara. Baadhi au wengi wao wanaishi kwenye nyumbani za kupanga uswahilini ambazo pengine hazina hadhi ya chao chake na huenda pia hazipo katika maeneo yenye usalama. Kwa maana nyingine watahitaji nyumba zilizo kwenye maeneo salama.
Kwa ukubwa na idadi hiyo watahitaji magari aina ya mashangingi yeye nyota za shaba kwa ajili ya utambulisho. Mishahara minono, ofisi, samani za ndani kwa entitlement zao. Sura ya kupandisha vyeo kama zawadi au fadhila inakuja kuonekana pale afisa mkuu huyo anatumika kwa muda wa mwaka mmoja tangu apate cheo anafikia kikomo cha mda wake wa kustaafu utumishi jeshini. Baadhi ya magazeti yameandika wakistaafu watalipwa billion 3 kwa mkupuo.
Kama mfumo ni huo je askari wetu na maafisa wadogo tutawapa fadhila gani wakikaribia kustaafu?
Na hawa ndio watendaji halisi.
Tutafakri !!!!