Watanzania wa kipato cha chini mbona mambo yanazidi kutuendea kombo! Nauli mpya zaja , mgao wa umeme ndo kwanza umeshika kasi, umeme wenyewe bei juu mambo kibao bei juu. Wenye nyumba nao kupandisha bei kila mwaka. Maji yanatoka mara moja kwa mwezi bili nayo ulipe. Yarabi toba mtanzania mimi maisha bora kwa kila mtz hakuna.