hayo mambo achana nayo watu washasahau we unawakumbusha,iIe ilikuwa siasa nduguMwezi november mwaka jana tuliarifiwa kuwa promotion kwa watumishi imeanza kshughulikiwa.
Naomba kuuliza Kuna mtumishi yoyote ambaye mshahara wake umebadilika au ndio bado wanaendelea kushughulika?
ngoja niache kuotaAndika maumivu. Hiyo ni ndoto.
, mi nilifikiri ni kwelihayo mambo achana nayo watu washasahau we unawakumbusha,iIe ilikuwa siasa ndugu
Achana na kuota sasa ushauriane na wenzio mfanye maandamano kudai haki yenungoja niache kuota
polisi watatulinda?Achana na kuota sasa ushauriane na wenzio mfanye maandamano kudai haki yenu
Polis wapi, hawa hawa wa bongo au wa China?polisi watatulinda?
hawa hawa wetu niwa pole nadhani watatulindaPolis wapi, hawa hawa wa bongo au wa China?
Jaribu uone, utakula kichapo mpk ukiambiwa sema Peoples unasema Philipohawa hawa wetu niwa pole nadhani watatulinda
Subiria utawala ujao labda km ukikutkuta ujastaafu bado,kitakiwacho uishi km shetani madaraja ya nn.Mwezi november mwaka jana tuliarifiwa kuwa promotion kwa watumishi imeanza kshughulikiwa.
Naomba kuuliza Kuna mtumishi yoyote ambaye mshahara wake umebadilika au ndio bado wanaendelea kushughulika?