Msidanganye watu,kama mmeamua kutowapandisha watu kwa utashi wenu au uswahida na wakuu wa mashule imekula kwenu.
mwalimu anapokuwa masomoni yupo kisheria,nakupanda daraja ni haki yake maana karuhusiwa kisheria kama lah angekuwepo kituo cha kazi.
Kama mwalimu alishakanywa kwa maandishi kwa utendaji kazi mbovu bila mafanikio huyo ni haki kutopandishwa,vinginevyo ana haki ya kupanda.
TSD KUWENI MAKINI,MAANA MSIINGIZWE KWENYE FITNA.