Kuota unakula usiku wa manane

Kuota unakula usiku wa manane

babukijana

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2009
Posts
15,931
Reaction score
20,223
Hizi ndoto zinasumbua sana sana,
Huwa naota nakula masive food,iwe stew,nyamachoma,wali ugali.pilau etc
Na kunakuwepo chakula kingi sana
Na watu wote nawaona tunajuana kabisa
hata jana nimeota nakula tilapia choma mkubwa tu.
Na best friend.
Problem nikiamka,sijiskii kula Chochote
,tumbo limejaa gesi balaa yaani nimevimbiwa.
Naweza kaa siku 2- 3
Naishia kunywa maji tu.
Labda ntagusa fruit na yoghurt.
Namwaga vyakula daily,
maana vinaharibika huku nimepika safi kwa roho moja.
Mwili wangu ka muwa( kijiti)
Sielewi hili jambo.
Siombi ushauri,
changia panapofaa.
 
Hao watu unaojuana nao kwenye vyakula hao!!!!

Kwanini fruit or yoghurt??
 
Pole sana Mkuu, unahitaji msaada wa kiroho. Kiroho kuna vyakula kabisa unalishwa, ukiamka unaona huhisi njaa.
 
Ulishaingizwa kwenye uchawi unalishwa nyqma za watu pamoja na damu zao, mnaokula nao ni wachawi wenzako! Tafuta kanisa la kiroho nje ya makanisa ya makanisa ya kinabii na mitume upate msaada wa maombi! Usipofanya hivyo madhara yake ipo siku utaliwa na wewe kwenye ulimwengu wa kawaida utakufa mapema
 
babukijana usitumie yoghurt ukiiona ndotoni.
Unanikumbusha kisa cha jamaa mmoja aliyekwenda kuiba kwenye ofisi fulani. Katika pekua pekua yake akaingia chumba cha baridi akakutana na vichupa vimejaa yoghurt. Kwa vile alikuwa na njaa na kiu basi akafakamia vichupa zaidi ya 20 mpaka aliporidhika. Wakati anatoka ndiyo akagundua kwamba kumbe ofisi ile aliyovamia ilikuwa ni sperm bank.

Alijaribu kujitapisha lakini hakuna "yoghurt" iliyotoka! 😔😔😔
 
Hizi ndoto zinasumbua sana sana,
Huwa naota nakula masive food,iwe stew,nyamachoma,wali ugali.pilau etc
Na kunakuwepo chakula kingi sana
Na watu wote nawaona tunajuana kabisa
hata jana nimeota nakula tilapia choma mkubwa tu.
Na best friend.
Problem nikiamka,sijiskii kula Chochote
,tumbo limejaa gesi balaa yaani nimevimbiwa.
Naweza kaa siku 2- 3
Naishia kunywa maji tu.
Labda ntagusa fruit na yoghurt.
Namwaga vyakula daily,
maana vinaharibika huku nimepika safi kwa roho moja.
Mwili wangu ka muwa( kijiti)
Sielewi hili jambo.
Siombi ushauri,
changia panapofaa.
Hmmm ni kama mzaha ila ni hatari sana hii! Ndoto za kuota unakula au unalishwa ni mbaya sana!
Omba!
Omba!
Omba!
 
babukijana usitumie yoghurt ukiiona ndotoni.
Ndotoni si yoghurt ni chakula haswa,kingi tu
Nakula inakua km sherehe fulani tuko mtu kibao.
Unakuta watu nawajua na tunatafuna jiko hilo limejaa Bbq kibao.
Last month nimeota kuna maza kaja na Biryani kazini msufuria huo.
Na tukaongea kabisa,
namwambia hapa kila mtu anakula kivyake akija.
nikashtuka kabla sijala
 
Pole sana ndugu. Wachawi sio watu wazuri kabisa. Watakuwa wanakulisha takataka zao za kichawi.
 
Hizi ndoto zinasumbua sana sana,
Huwa naota nakula masive food,iwe stew,nyamachoma,wali ugali.pilau etc
Na kunakuwepo chakula kingi sana
Na watu wote nawaona tunajuana kabisa
hata jana nimeota nakula tilapia choma mkubwa tu.
Na best friend.
Problem nikiamka,sijiskii kula Chochote
,tumbo limejaa gesi balaa yaani nimevimbiwa.
Naweza kaa siku 2- 3
Naishia kunywa maji tu.
Labda ntagusa fruit na yoghurt.
Namwaga vyakula daily,
maana vinaharibika huku nimepika safi kwa roho moja.
Mwili wangu ka muwa( kijiti)
Sielewi hili jambo.
Siombi ushauri,
changia panapofaa.
usijali! We endelea kulala, utakula unachokiota!
 
Back
Top Bottom