Jomse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 275
- 92
Nawasalimu wote.Jamani binti yangu wa miaka mitatu na nusu ana kanyama kametokea sehemu ya haja kubwa.
Wenye utaalamu au kujua naomba mnieleweshe kwamba je kina madhara yoyote ?na kama ni tatizo hili tatizo linasababishwa na nini? Na je tiba yake ni nini?
Asante sana.
Wenye utaalamu au kujua naomba mnieleweshe kwamba je kina madhara yoyote ?na kama ni tatizo hili tatizo linasababishwa na nini? Na je tiba yake ni nini?
Asante sana.