Kuondolewa Machinga Mijini

Kuondolewa Machinga Mijini

Swala la machinga mijini limekuwa ni tatizo hasa kipindi cha awamu ya tano.

Tatizo hili linakua kwa kasi kwa sababu ya aina ya viongozi tulio nao.
Tanzania tuna viongozi kuanzia ngazi ya shina hadi taifa.

Sasa jiulize hawa watendaji wa mtaaa wanafanya nini.
Nashauri Mkuu wa mkoa Dar hangaika na watendaji watakaoshindwa kusimamia uondoshwaji wa machina sehemu zao.
Kesho ni 18/10 siku ambayo ni mwisho kwa machinga barabarani jijini Dar.

Kuanzia hapo pata taarifa toka kila mtendaji wa mtaa kuliko na machinga na chukua hatua
acha ujinga, unajua kabisa MWENDAZAKE NDIYE ALIYEWAAMBIA WATOKE HUKO kibondo, mchinga, namtumbo kuja Dar kupanga barabarani for cheap political popularity alau leo unawaambia watendaji wa mtaa? mbona hamuwapi majukumu y KUKUSANYA FEDHA HAO WATENDAJI? MAMBO YA LAWAMA MNAWAPA WAO, YENYE TIJA MJIPE wenyewe?

Serikali ipambane na hali yake.
 
Tuliipotosha maana halisi ya mmachinga.huyo ni mtu aisye na mahali pa kufanyia biashara yaani anatembeza biashara zake.sasa hiv hata mama ntilie ni mmachinga
Umeona eeeh,Hawa wengine ni wakwepa Kodi tu
 
Back
Top Bottom